Polisi yakamata kontena la nyaya za milioni 150/-
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata kontena likiwa na rola 15 za nyaya za umeme mali ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) zenye thamani ya Sh milioni 150.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Mar
Serikali yakamata kontena la samaki wabovu
WIZARA ya Maendeleo ya Mifungo na Uvuvi imekamata katika Bandari ya Dar es Salaam kontena la samaki wabovu aina ya dagaa na migebuka tani 10 lenye thamani ya Sh milioni 100 likiwa mbioni kusafirishwa kwenda Australia.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Kontena la CCM lageuzwa kituo cha polisi
JESHI la Polisi Wilaya ya kipolisi Chalinze mkoani Pwani, linafanya kazi zake kwenye kontena mali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutokana na ufinyu wa majengo ya ofisi. Hayo yalisemwa mjini...
10 years ago
Vijimambo13 Oct
Simba yateketeza milioni 150/- Sauzi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Simba--October13-2014.jpg)
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya uongozi wa Simba, kambi hiyo ya siku 10 imelenga kukiimarisha kikosi cha timu hiyo ili kiweze kufanya vizuri katika mechi dhidi ya Yanga na...
9 years ago
Mwananchi16 Aug
‘Changamkieni soko la watu milioni 150 EAC’
5 years ago
MichuziWADAU WACHANGIA SH. MILIONI 150 KUKABILIANA NA CORONA
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Polisi yakamata bunduki 16 za Stakishari
9 years ago
Bongo527 Nov
Matonya: Vaileti iliingiza shilingi milioni 150 fasta
Staa wa muziki wa Bongo Flava, Seif ‘Matonya’ Shaaban, ameuelezea wimbo wake wa kitambo ‘Vaileti’ kuwa ndio wimbo uliompatia pesa nyingi na kwa haraka.
Akizungumza katika kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Matonya alisema wiki kadhaa tu baada ya kuachia ngoma hiyo, alijikuta akiwa na pesa nyingi kwenye akaunti yake.
“Vaileti was crazy song kiukweli,” alisema Matonya. “Ulikuwa wimbo mkubwa sana, nilipokea simu nyingi kutoka Marekani na kwingineko, yaani ulipagawisha watu kiukweli. Sasa...
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Polisi yakamata silaha zilizoibwa Stakishari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vsBF-rrlwCQ/XsKbEE8tpjI/AAAAAAALqsU/8wc07i7eCvwKzumjIKQF2CZXmSHkaax2wCLcBGAsYHQ/s72-c/MGANGA.jpg)
Milioni 150 Zaboresha Miundombinu Chuo cha Michezo Malya
![](https://1.bp.blogspot.com/-vsBF-rrlwCQ/XsKbEE8tpjI/AAAAAAALqsU/8wc07i7eCvwKzumjIKQF2CZXmSHkaax2wCLcBGAsYHQ/s640/MGANGA.jpg)
Na Shamimu Nyaki - WHUSMSERIKALI imetoa takriban Milioni 150 kukarabati miundombinu ya viwanja vya michezo pamoja na ujenzi wa kisima cha maji katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambacho ndio chuo pekee nchini kinachozalisha walimu wa sekta hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu, Mkuu wa Chuo hicho, Richard Mganga amesema kuwa katika kipindi cha miaka mitano cha Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli...