Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi yakamata kontena la nyaya za milioni 150/-

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata kontena likiwa na rola 15 za nyaya za umeme mali ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) zenye thamani ya Sh milioni 150.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali yakamata kontena la samaki wabovu

WIZARA ya Maendeleo ya Mifungo na Uvuvi imekamata katika Bandari ya Dar es Salaam kontena la samaki wabovu aina ya dagaa na migebuka tani 10 lenye thamani ya Sh milioni 100 likiwa mbioni kusafirishwa kwenda Australia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kontena la CCM lageuzwa kituo cha polisi

JESHI la Polisi Wilaya ya kipolisi Chalinze mkoani Pwani, linafanya kazi zake kwenye kontena mali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutokana na ufinyu wa majengo ya ofisi. Hayo yalisemwa mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

Simba yateketeza milioni 150/- Sauzi

Wakati timu ya soka ya Simba leo itacheza mechi ya kirafiki ya pili ya kimataifa dhidi ya Bidvest Wits United ya Afrika Kusini kwa ajili ya kujiandaa kuivaa Yanga Oktoba 18, klabu hiyo inatarajia kutumia kiasi cha Sh. milioni 150 kugharamia kambi ya timu hiyo iliyoko jijini Johannesburg, imefahamika.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya uongozi wa Simba, kambi hiyo ya siku 10 imelenga kukiimarisha kikosi cha timu hiyo ili kiweze kufanya vizuri katika mechi dhidi ya Yanga na...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Changamkieni soko la watu milioni 150 EAC’

Wafanyabishara nchini wametakiwa kuacha woga na kuchangamkia soko lenye watu milioni 150 wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kutanua biashara zao.

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WACHANGIA SH. MILIONI 150 KUKABILIANA NA CORONA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akipokea hundi ya Sh. 50,000,000/= kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya kuzalisha nguzo ya Qwihaya General Enterpises Co. Limited, Leonard Mahenda, ikiwa ni mchango kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Serikali za mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu- COVID - 19. Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Mai 4, 2020. (Picha...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yakamata bunduki 16 za Stakishari

Jeshi la Polisi limesema limeshakamata bunduki 16 kati ya 21 zilizoporwa kwenye Kituo cha Stakishari.

 

9 years ago

Bongo5

Matonya: Vaileti iliingiza shilingi milioni 150 fasta

Staa wa muziki wa Bongo Flava, Seif ‘Matonya’ Shaaban, ameuelezea wimbo wake wa kitambo ‘Vaileti’ kuwa ndio wimbo uliompatia pesa nyingi na kwa haraka.

Matonya-559x520

Akizungumza katika kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Matonya alisema wiki kadhaa tu baada ya kuachia ngoma hiyo, alijikuta akiwa na pesa nyingi kwenye akaunti yake.

“Vaileti was crazy song kiukweli,” alisema Matonya. “Ulikuwa wimbo mkubwa sana, nilipokea simu nyingi kutoka Marekani na kwingineko, yaani ulipagawisha watu kiukweli. Sasa...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yakamata silaha zilizoibwa Stakishari

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata bunduki 14 na risasi 28 zilizoporwa katika kituo cha polisi cha Stakshari.

 

5 years ago

Michuzi

Milioni 150 Zaboresha Miundombinu Chuo cha Michezo Malya


Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.
Na Shamimu Nyaki - WHUSMSERIKALI imetoa takriban Milioni 150 kukarabati miundombinu ya viwanja vya michezo pamoja na ujenzi wa kisima cha maji katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambacho ndio chuo pekee nchini kinachozalisha walimu wa sekta hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu, Mkuu wa Chuo hicho, Richard Mganga amesema kuwa katika kipindi cha miaka mitano cha Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani