Milioni 150 Zaboresha Miundombinu Chuo cha Michezo Malya
![](https://1.bp.blogspot.com/-vsBF-rrlwCQ/XsKbEE8tpjI/AAAAAAALqsU/8wc07i7eCvwKzumjIKQF2CZXmSHkaax2wCLcBGAsYHQ/s72-c/MGANGA.jpg)
Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.
Na Shamimu Nyaki - WHUSMSERIKALI imetoa takriban Milioni 150 kukarabati miundombinu ya viwanja vya michezo pamoja na ujenzi wa kisima cha maji katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambacho ndio chuo pekee nchini kinachozalisha walimu wa sekta hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu, Mkuu wa Chuo hicho, Richard Mganga amesema kuwa katika kipindi cha miaka mitano cha Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-591swPEhKRg/Xs0N0PMGqRI/AAAAAAALrmM/DpdrVye-OgovR0pXaUQ6mZhed7V1uO8nQCLcBGAsYHQ/s72-c/MGANGA-1.jpg)
CHUO CHA MALYA CHAJIVUNIA KUZALISHA WALIMU BORA WA MICHEZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-591swPEhKRg/Xs0N0PMGqRI/AAAAAAALrmM/DpdrVye-OgovR0pXaUQ6mZhed7V1uO8nQCLcBGAsYHQ/s640/MGANGA-1.jpg)
Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.
NA shamimu Nyaki –WHUSM
Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya kimefanikiwa kuzalisha wataalam wa kufundisha na kuratibu michezo mbalimbali nchini ikwemo mashindano ya UMISETA na UMITASHUMTA.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo hicho Bw.Richard Mganga katika mahojiano maalum ambapo ameeleza kuwa watalaam waliozalishwa wametokana na kozi zitolewazo chuoni hapo ambazo ni pamoja na; Michezo kwa ngazi ya Astashahada (Diploma) katika fani ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200607-WA0294.jpg)
DK. ABBAS ATEMBELEA CHUO CHA MICHEZO MALYA MKOANI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200607-WA0294.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200607-WA0293.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas akiwa katika ziara ya kikazi wakati alipotembelea chuo Cha michezo Cha Malya mkoani Mwanza leo kulia ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKECs7x0Vm-t1M3bLtF3OZBmmzI-K3Ug2ZGES5fT-lC39mNuGyIbePbADwwkrmyHl4--tqcZvtj7H2rxn7bUBExsa/001.JAYIBRA.jpg?width=650)
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUUU CHA ST.JOSEPH AKABIDHIWA KITITA CHAKE CHA MILIONI 10/-
9 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO LA CHUO CHA IFM
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mamlaka ya elimu yatoa ufadhili wa milioni 300 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K.Nyerere
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar Es Salaam kuhusu mikakati ya mamlaka hiyo katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kupitia Mfuko wa Elimu. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q76Cvb47dK0/VZzvK5ETAeI/AAAAAAAHntk/cnqWEx2m8gs/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Edinburgh wasaidia sekta ya Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q76Cvb47dK0/VZzvK5ETAeI/AAAAAAAHntk/cnqWEx2m8gs/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bdkuzshBKqw/VmKd-SmPykI/AAAAAAAIKSo/SW2iSGGk5uc/s72-c/39974d64-9dfe-4c6f-a927-c73e9c7b7080.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akizawdia vifaa vya michezo Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-at8dFEP3sX0/VIF4Bg4nQrI/AAAAAAACv70/ZFq_J-hbg3c/s72-c/1.jpg)
Airtel yatoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh mil 15 kwa chuo kikuu cha Dar es saalam
![](http://1.bp.blogspot.com/-at8dFEP3sX0/VIF4Bg4nQrI/AAAAAAACv70/ZFq_J-hbg3c/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6g-XRl1SCAQ/VLqngbbFMFI/AAAAAAAG-Bc/jf8cIfPMToc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WAHITIMU 10 WAKABIDHIWA MILIONI 10 ZA WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6g-XRl1SCAQ/VLqngbbFMFI/AAAAAAAG-Bc/jf8cIfPMToc/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tVMTfBcCudE/VLqnlHQfQxI/AAAAAAAG-Bs/zhlWTgJwTCk/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFTrWIMslHk/VLqnjzKfIsI/AAAAAAAG-Bk/4EL4baNAP2I/s1600/unnamed%2B(17).jpg)