CHUO CHA MALYA CHAJIVUNIA KUZALISHA WALIMU BORA WA MICHEZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-591swPEhKRg/Xs0N0PMGqRI/AAAAAAALrmM/DpdrVye-OgovR0pXaUQ6mZhed7V1uO8nQCLcBGAsYHQ/s72-c/MGANGA-1.jpg)
Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.
NA shamimu Nyaki –WHUSM
Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya kimefanikiwa kuzalisha wataalam wa kufundisha na kuratibu michezo mbalimbali nchini ikwemo mashindano ya UMISETA na UMITASHUMTA.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo hicho Bw.Richard Mganga katika mahojiano maalum ambapo ameeleza kuwa watalaam waliozalishwa wametokana na kozi zitolewazo chuoni hapo ambazo ni pamoja na; Michezo kwa ngazi ya Astashahada (Diploma) katika fani ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200607-WA0294.jpg)
DK. ABBAS ATEMBELEA CHUO CHA MICHEZO MALYA MKOANI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200607-WA0294.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200607-WA0293.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas akiwa katika ziara ya kikazi wakati alipotembelea chuo Cha michezo Cha Malya mkoani Mwanza leo kulia ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vsBF-rrlwCQ/XsKbEE8tpjI/AAAAAAALqsU/8wc07i7eCvwKzumjIKQF2CZXmSHkaax2wCLcBGAsYHQ/s72-c/MGANGA.jpg)
Milioni 150 Zaboresha Miundombinu Chuo cha Michezo Malya
![](https://1.bp.blogspot.com/-vsBF-rrlwCQ/XsKbEE8tpjI/AAAAAAALqsU/8wc07i7eCvwKzumjIKQF2CZXmSHkaax2wCLcBGAsYHQ/s640/MGANGA.jpg)
Na Shamimu Nyaki - WHUSMSERIKALI imetoa takriban Milioni 150 kukarabati miundombinu ya viwanja vya michezo pamoja na ujenzi wa kisima cha maji katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambacho ndio chuo pekee nchini kinachozalisha walimu wa sekta hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu, Mkuu wa Chuo hicho, Richard Mganga amesema kuwa katika kipindi cha miaka mitano cha Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli...
9 years ago
Bongo523 Oct
Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Chuo cha Mtakatifu Joseph kuongeza walimu wa Sayansi
9 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO LA CHUO CHA IFM
11 years ago
MichuziMH. PINDA AZINDUA CHUO CHA VETA NA KUKABIDHIWA NYUMBA YA WALIMU SAME
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Pinda azindua Chuo cha VETA na kukabidhiwa Nyumba ya Walimu Same
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa mkoa Kilimanjaro baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro Julai 20, 2014 kwa ziara ya siku moja wilayani Same. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la Chuo cha Ufundi ( VTC) cha Maore wilayani Same Julai 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Jaji Mstaafu, Amir Manento baada ya kukabidhiwa nyumba iliyojengwa na Jaji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q76Cvb47dK0/VZzvK5ETAeI/AAAAAAAHntk/cnqWEx2m8gs/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Edinburgh wasaidia sekta ya Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q76Cvb47dK0/VZzvK5ETAeI/AAAAAAAHntk/cnqWEx2m8gs/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)