Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHUO CHA MALYA CHAJIVUNIA KUZALISHA WALIMU BORA WA MICHEZO







Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.


NA shamimu Nyaki –WHUSM

Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya kimefanikiwa kuzalisha wataalam wa kufundisha na kuratibu michezo mbalimbali nchini ikwemo mashindano ya UMISETA na UMITASHUMTA.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo hicho Bw.Richard Mganga katika mahojiano maalum ambapo ameeleza kuwa watalaam waliozalishwa wametokana na kozi zitolewazo chuoni hapo ambazo ni pamoja na; Michezo kwa ngazi ya Astashahada (Diploma) katika fani ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DK. ABBAS ATEMBELEA CHUO CHA MICHEZO MALYA MKOANI MWANZA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas akiwa katika ziara ya kikazi wakati alipotembelea chuo Cha michezo Cha  Malya mkoani Mwanza leo. katikati ni kulia ni Mkurugenzi wa Michezo wizara ya Habari,  Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Yusuf Singo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas akiwa katika ziara ya kikazi wakati alipotembelea chuo Cha michezo Cha  Malya mkoani Mwanza leo kulia ni...

 

5 years ago

Michuzi

Milioni 150 Zaboresha Miundombinu Chuo cha Michezo Malya


Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.
Na Shamimu Nyaki - WHUSMSERIKALI imetoa takriban Milioni 150 kukarabati miundombinu ya viwanja vya michezo pamoja na ujenzi wa kisima cha maji katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambacho ndio chuo pekee nchini kinachozalisha walimu wa sekta hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu, Mkuu wa Chuo hicho, Richard Mganga amesema kuwa katika kipindi cha miaka mitano cha Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli...

 

9 years ago

Bongo5

Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua

Chuo kikuu cha Dodoma kinatarajia kuzalisha umeme wa jua utakaoweza kuzalisha megawati 50. Mradi huo mkubwa unatarajiwa kujengwa na kuwa mkubwa kuliko chuo chochote kuwahi kujenga ndani ya eneo la chuo duniani. Megawati hizo zitatumika kwa kuanzia kusambaza umeme kwenye mabweni, madarasa ya kufundishia, sehemu za kufanyia tafiti na eneo la madawa au huduma za […]

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA

Kampuni ya mbegu ya Seedco imezindua kiwanda kipya cha kuzalisha mbegu bora za mahindi na nafaka nyingine kitakachowasaidia wakulima kulima kilimo chenye tija na kupata mazao mengi.
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...

 

11 years ago

Mwananchi

Chuo cha Mtakatifu Joseph kuongeza walimu wa Sayansi

Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph ( SJUIT) kilichopo Mbezi Luguruni jijini hapa, kinatarajia kufungua tawi jipya eneo la Mwenge,lengo likiwa ni kuongeza idadi ya walimu wa masomo ya sayansi.

 

9 years ago

Michuzi

NSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO LA CHUO CHA IFM

Mchezaji wa timu ya mpira wa Kikapu ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Ephraim Mlawa (kushoto) akichuana na Juvenary Shichose wakati Bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo hicho lililofanyika, mwishoni mwa wiki katika Kituo cha Michezo cha JMK Youth Park na kudhaminiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kutoa vifaa vya michezo kwa timu zilizoshiriki mchezo wa soka. (Picha na Francis Dande)Timu za mpira wa kikapu kutoka Chuo cha IFM zikichuana katika Bonanza la michezo la...

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AZINDUA CHUO CHA VETA NA KUKABIDHIWA NYUMBA YA WALIMU SAME

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa mkoa Kilimanjaro baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro Julai 20, 2014 kwa ziara ya siku moja wilayani Same.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la Chuo cha Ufundi ( VTC) cha Maore wilayani Same Julai 21, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Jaji Mstaafu, Amir Manento baada ya kukabidhiwa nyumba iliyojengwa na Jaji huyo kama mchango wake kwa Wananchi wa kijiji alichozaliwa cha Mtii. ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda azindua Chuo cha VETA na kukabidhiwa Nyumba ya Walimu Same

PG4A5283

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na viongozi wa mkoa Kilimanjaro baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro  Julai 20, 2014  kwa ziara ya siku moja wilayani Same.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5427

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la  Chuo cha Ufundi ( VTC)   cha Maore wilayani Same Julai 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5458

PG4A5682

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Jaji  Mstaafu, Amir Manento baada ya kukabidhiwa  nyumba iliyojengwa  na Jaji...

 

10 years ago

Michuzi

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Edinburgh wasaidia sekta ya Michezo

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Bibi. Juliana Yassoda (wa tatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Edinburgh (Edinburgh Global Partnership) walipmotembelea ofisini kwake leo.Wanafunzia wanasaidia ujenzi wa Viwanjwa viwili vya michezo ya Mipira ya Kikapu,Pete na Wavu vilivyogharimu zaidi ya shilingi milioni 33.Viwanja hivyo vimejengwa katika maeneo ya Vingunguti jijini Dar es Salaam chini ya usimamizi wa asasi isiyo ya Kiserikali ya Msimamo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani