Balozi Seif Ali Iddi akizawdia vifaa vya michezo Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
![](http://2.bp.blogspot.com/-bdkuzshBKqw/VmKd-SmPykI/AAAAAAAIKSo/SW2iSGGk5uc/s72-c/39974d64-9dfe-4c6f-a927-c73e9c7b7080.jpg)
Mwenyekiti wa Mtandao wa Afya na Elimu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki Bibi Kokushubila Kairuk alisema kitendo cha baadhi ya Viongozi na washirika wa maendeleo kuendelea kuunga mkono Taasisi za Umma za zile binafsi huleta faraja katika Jamii.Bibi Kokushubila alieleza hayo wakati akipokea msaada wa vifaa vya michezo vilivyotolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hapo Ofisini kwake Mtaa wa Mikocheni Mjini Dar es salaam. Vifaa hivyo vikiwa ni pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s72-c/Untitled1.png)
TAARIFA YA MSIBA KATIKA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBERT KAIRUKI (HKMU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s1600/Untitled1.png)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, anasikitika kutangaza kifo cha Dk. Kitindi Hemedi Kumpuni (Mhadhiri Idara ya Magonjwa ya akina Mama), kilichotokea tarehe 21 Novemba 2014, saa 8:30 mchana, katika Hospitali ya Kairuki, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Oysterbay, barabara ya Bongoyo.
Marehemu atazikwa siku ya Jumapili tarehe 23.11.2014, Saa 10 jioni katika makaburi ya Kisutu DSM.
Kwa taarifa zaidi piga simu...
10 years ago
MichuziMbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Al-Shaymaa Kwegyir, aizungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki katika Kongamano la mauaji ya albino
hawapo pichani, katika kongamano la kujadili nini kifanyike kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) lililofanyika jana chuoni hapo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Keto Mshigeni na Kulia ni Kokushubika Kairuki.
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMBUNGE wa Viti Maalum ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino), Al -Shaimaa Kweigyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa na baadhi ya Watanzania juu ya jamii yenye ulemavu wa ngozi na kusema kwamba inawafanya watu hao waishi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s72-c/752.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi awahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s1600/752.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x5T9Lo-Az6M/VHs-M-gOSMI/AAAAAAAG0V4/8npH6P5ZkGI/s1600/770.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VmYUKcPPZ10/VXHmoWDv8xI/AAAAAAAHcYc/MhzzNw70PKw/s72-c/470.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi aupongeza Uongozi wa Chama cha Michezo cha Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-VmYUKcPPZ10/VXHmoWDv8xI/AAAAAAAHcYc/MhzzNw70PKw/s640/470.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-twVY_HRJfFQ/VXHmn-d_CLI/AAAAAAAHcYY/vcmo4UuFNjc/s640/479.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oj4rhreRSYo/VXHmq6lRcFI/AAAAAAAHcYw/G9yO6PbqKy4/s640/482.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hqwt7Vasj0M/UySNv4CkkII/AAAAAAAFTrw/0fQCt0sIygc/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi asaidia vifaa vya ujenzi kwa Ofisi ya CCM Tawi la Kazole, Kaskazini Unguja
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-at8dFEP3sX0/VIF4Bg4nQrI/AAAAAAACv70/ZFq_J-hbg3c/s72-c/1.jpg)
Airtel yatoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh mil 15 kwa chuo kikuu cha Dar es saalam
![](http://1.bp.blogspot.com/-at8dFEP3sX0/VIF4Bg4nQrI/AAAAAAACv70/ZFq_J-hbg3c/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j4oBJ0lieMw/U6KwhrwkfQI/AAAAAAAFroY/YNy9LjaPxik/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi azindua rasmi kitabu cha Historia ya Vyombo vya Habari Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-j4oBJ0lieMw/U6KwhrwkfQI/AAAAAAAFroY/YNy9LjaPxik/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HPEzHAqJ-DE/U6KwhvziseI/AAAAAAAFroM/_vAqHiPOdpQ/s1600/unnamed+(6).jpg)
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA13 YA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBRT KAIRUKI YAFANYIKA LEO JIJINI DAR.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OgsXvDg7Th0/VTp6JtSV-JI/AAAAAAAHTAY/UGkEhcLS7Kc/s72-c/unnamed.j.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi aongea na vyombo vya habari leo