Balozi Seif Ali Iddi asaidia vifaa vya ujenzi kwa Ofisi ya CCM Tawi la Kazole, Kaskazini Unguja
![](http://4.bp.blogspot.com/-hqwt7Vasj0M/UySNv4CkkII/AAAAAAAFTrw/0fQCt0sIygc/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Othman Khamis Ame, OMPR Zaidi ya asilimia 95% imefikiwa katika ujenzi wa Matawi ya Kisasa ya Chama cha Mapinduzi ndani ya Jimbo la Kitope liliomo katika Wilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja. Hali hiyo imekuja kufuatia hatua za ukamilishaji wa Linta katika Tawi la Chama cha Mapinduzi la Kazole likiwa miongoni mwa Matawi 19 ya Kisasa yaliyo kwishajengwa kati ya Matawi 20 yaliyomo ndani ya Jimbo hilo. Katika kuunga mkono harakati za Wanachama wa chama cha Mapinduzi wa Tawi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q927ic88VK0/Vo0UkVbgHUI/AAAAAAAIQ14/unFtqpRtPWE/s72-c/073.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AZINDUA MRADI WA MAJI NA SALAMA KASKAZINI UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q927ic88VK0/Vo0UkVbgHUI/AAAAAAAIQ14/unFtqpRtPWE/s640/073.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3WczkZ_bAKA/Vo0UkVk1EAI/AAAAAAAIQ10/2953w61OWpY/s640/081.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GQ53uKB7z_Q/Vo0UleH85GI/AAAAAAAIQ2E/TbyE2A2qKaE/s640/886.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kCiPV-9fuHA/U7MDp4-xIuI/AAAAAAAFuAo/SX9Cc-9nZTU/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembeela Kijiji cha Mvuleni Shehia ya Kidoti Jimbo la Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja
![](http://3.bp.blogspot.com/-kCiPV-9fuHA/U7MDp4-xIuI/AAAAAAAFuAo/SX9Cc-9nZTU/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aNgKPcnGpj4/U7MDp9_PCSI/AAAAAAAFuAY/pwBpQov8wgI/s1600/unnamed+(14).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s72-c/d1.jpg)
Balozi seif ali iddi afunguwa Kituo cha Afya Cha Pwani Mchangani Wilaya ya Kaskazini “A”, Unguja
![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s1600/d1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8chuUQK6js/Uyh0dElrfOI/AAAAAAAFUo4/ZXzJP3EG1o4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wM2mDHdy_n0/Uyh0dToaYXI/AAAAAAAFUo0/egYnVbBVfxg/s1600/d6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8mxIt0kQVpw/UxR05KjDFjI/AAAAAAAFQyQ/4M6q8iOOU88/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bdkuzshBKqw/VmKd-SmPykI/AAAAAAAIKSo/SW2iSGGk5uc/s72-c/39974d64-9dfe-4c6f-a927-c73e9c7b7080.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akizawdia vifaa vya michezo Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s72-c/814.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KITUO CHA TIBA NA MAREKEBISHO YA TABIA KWA VIJANA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s640/814.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xn1S6OJ98OE/VovY3QMn9HI/AAAAAAAIQqg/jrocdlVPRJU/s640/822.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IhEkaRhUsUc/VXBSBTgYYhI/AAAAAAAHb7M/6zwxmGjsNyc/s72-c/396.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA SKULI UNGUJA KASKAZINI .
Ujenzi wa skuli hiyo uliohusisha pia vyoo na Tangi la Kuhifadhia maji ambavyo vinajengwa kwa kutumia Taaluma ya Chupa za Maji ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F_gC9rEVVwY/U90YVPu9XsI/AAAAAAAF8fs/GjzbwxTw-p8/s72-c/unnamed+(7).jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKABIDHI VIFAA MBALI MBALI VYA UJENZI KATIKA JIMBO LA KITOPE
Tahadhari hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi wakati akikabidhi vifaa mbali mbali vya uwezekaji wa majengo ya Maabara na Maktaba ya Skuli ya Sekondari ya Fujoni iliyomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “ B”.
Balozi Seif ambae pia ni...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hKq-bfM-RIA/VlsGMHvD-3I/AAAAAAAIJCI/E30jqupLs2E/s72-c/0c0b5b0b-dd7c-4ef1-b62f-1fdfe272cccd.jpg)
balozi Seif Ali Iddi atembelea msitu wa Muyuni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hKq-bfM-RIA/VlsGMHvD-3I/AAAAAAAIJCI/E30jqupLs2E/s640/0c0b5b0b-dd7c-4ef1-b62f-1fdfe272cccd.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1PqECq_H4ZA/VlsGMAaQ8oI/AAAAAAAIJCE/9XtbP8Pk44c/s640/96bc0199-bee0-48ca-8a1b-46db9c4e2bb9.jpg)