Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Al-Shaymaa Kwegyir, aizungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki katika Kongamano la mauaji ya albino
hawapo pichani, katika kongamano la kujadili nini kifanyike kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) lililofanyika jana chuoni hapo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Keto Mshigeni na Kulia ni Kokushubika Kairuki.
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMBUNGE wa Viti Maalum ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino), Al -Shaimaa Kweigyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa na baadhi ya Watanzania juu ya jamii yenye ulemavu wa ngozi na kusema kwamba inawafanya watu hao waishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s72-c/Untitled1.png)
TAARIFA YA MSIBA KATIKA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBERT KAIRUKI (HKMU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xxESOC5VHw/VHCqTHijbHI/AAAAAAAGy8s/tALqK3IrqnI/s1600/Untitled1.png)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, anasikitika kutangaza kifo cha Dk. Kitindi Hemedi Kumpuni (Mhadhiri Idara ya Magonjwa ya akina Mama), kilichotokea tarehe 21 Novemba 2014, saa 8:30 mchana, katika Hospitali ya Kairuki, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Oysterbay, barabara ya Bongoyo.
Marehemu atazikwa siku ya Jumapili tarehe 23.11.2014, Saa 10 jioni katika makaburi ya Kisutu DSM.
Kwa taarifa zaidi piga simu...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bdkuzshBKqw/VmKd-SmPykI/AAAAAAAIKSo/SW2iSGGk5uc/s72-c/39974d64-9dfe-4c6f-a927-c73e9c7b7080.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akizawdia vifaa vya michezo Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA13 YA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBRT KAIRUKI YAFANYIKA LEO JIJINI DAR.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Obajdy2LniA/VciSXHmcKGI/AAAAAAAHvtE/PV8CZwnnNzs/s72-c/ww.png)
Taarifa rasmi ya kifo cha aliyekuwa mbunge viti maalum (CUF) Mhe. Clara Diana Mwatuka
![](http://3.bp.blogspot.com/-Obajdy2LniA/VciSXHmcKGI/AAAAAAAHvtE/PV8CZwnnNzs/s640/ww.png)
Mipango ya Mazishi inaendelea kufanywa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu, ambapo mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho siku ya Jumanne tarehe 11 Agosti, 2014 saa 9:00 Alasiri,...
10 years ago
Michuzi19 Mar
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9qGutUG9JVw/VoOnSMuWAfI/AAAAAAAIPT8/qMI2-9wi-ZU/s640/002.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QAwSQ31f6Lc/VYKxwKo21II/AAAAAAAHg5Q/IlTTusjLOxQ/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WARAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA SIKU YA TABIANCHI AFRIKA CHUO KIKUU CHA UDSM
![](http://3.bp.blogspot.com/-QAwSQ31f6Lc/VYKxwKo21II/AAAAAAAHg5Q/IlTTusjLOxQ/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4tTh98Um2x4/VYKxyhX4pUI/AAAAAAAHg5s/OLZR2YRRQeE/s640/1C.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tkc3e0DwnO0/VYNTjNTP7VI/AAAAAAADsNc/OiQRnV3h96I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WARAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA SIKU YA TABIANCHI AFRIKA CHUO KIKUU CHA UDSM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tkc3e0DwnO0/VYNTjNTP7VI/AAAAAAADsNc/OiQRnV3h96I/s640/1B.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oh4_eOZ5ojY/VYNTh2NsnEI/AAAAAAADsNU/pacJU1VHbBc/s640/1.jpg)