Taarifa rasmi ya kifo cha aliyekuwa mbunge viti maalum (CUF) Mhe. Clara Diana Mwatuka
![](http://3.bp.blogspot.com/-Obajdy2LniA/VciSXHmcKGI/AAAAAAAHvtE/PV8CZwnnNzs/s72-c/ww.png)
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) anasikitika kutangaza kifo cha Mhe. Clara Diana Mwatuka (Mb), aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama cha Wananchi, (CUF) Mkoa wa Mtwara, kilichotokea jana Jumapili tarehe 9 Agosti 2015 kwa ajali ya gari katika Kijiji cha Miyuyu, Newala, Mkoani Mtwara.
Mipango ya Mazishi inaendelea kufanywa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu, ambapo mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho siku ya Jumanne tarehe 11 Agosti, 2014 saa 9:00 Alasiri,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka afariki Dunia kwa ajali!
![](http://www.bungemaalum.go.tz/files/members/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF mama Mwatuka amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuja Ndanda.Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospital.
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/p160x160/11811391_497680753741077_5479242452651876403_n.jpg?oh=0fdaff60cadd649648564a2e6898cf6f&oe=5684018D&__gda__=1448296863_1785c8e337c16723925f4198373e4a9a)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t34.0-12/s851x315/11855310_497675887074897_780490772_n.jpg?oh=f840d175f4aa0d77657654d482ac32cd&oe=55C96074)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/mwatuka.jpg)
MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI
Clara Mwatuka enzi za uhai wake. Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Clara Mwatuka, amefariki dunia leo Jumapili jioni baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuelekea Ndanda, Masasi mkoani Mtwara. Gari alilopata nalo ajali marehemu Mwatuka. Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s72-c/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Viti maalumu CUF, MH. Clara Mwatuka Afariki Dunia ajalini jioni ya leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s640/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo Hospitali ya Rufaa ya Ndanda, Mkoani Mtwara.
Globu ya Jamii inaungana na Familia ya Marehemu katika kipindi hiki kigumu, na tunamuombea kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s72-c/mbg.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum CCM Lindi ajiunga na CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s640/mbg.jpg)
Na Khamis Haji OMKR
Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi kutoka mkoa wa Lindi, Riziki Said Rurida amekihama chama hicho na kuhamia Chama cha Wananchi CUF.
Rurida alitangaza kukihama chama hicho na kukabidhiwa kadi ya CUF na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara wa CUF...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s72-c/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CUF ajiunga na ACT wazalendo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s640/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mbunge Clara Mwatuka kuzikwa leo Masasi
Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Clara Mwatuka amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia juzi mjini hapa na atazikwa leo.
10 years ago
MichuziMbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Al-Shaymaa Kwegyir, aizungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki katika Kongamano la mauaji ya albino
hawapo pichani, katika kongamano la kujadili nini kifanyike kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) lililofanyika jana chuoni hapo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Keto Mshigeni na Kulia ni Kokushubika Kairuki.
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMBUNGE wa Viti Maalum ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino), Al -Shaimaa Kweigyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa na baadhi ya Watanzania juu ya jamii yenye ulemavu wa ngozi na kusema kwamba inawafanya watu hao waishi...
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM. ESTER BULAYA,AMEPOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA BUNDA
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia vijana (ccm) Ester Bulaya, amepokewa na maelfu ya wakazi wa Bunda baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na mendeleo CADEMA na kudai tayari amechukua na kurudisha fomu kwa ajili ya kuwania Ubunge wa jimbo la Bunda mjini kupitia chama hicho na kuahidi kushirikiana na wananchi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama na kusisitiza hataweza kuwaangusha wanabunda na watanzania wote.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QOwA3H--RtQ/U1VAqKk_nsI/AAAAAAAAFWo/FSbnbPLRrwk/s72-c/Untitled-1.jpg)
TAARIFA RASMI KWA UMMA YA KIFO CHA MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MHE. MOSHI CHANG'A, KUZIKWA JUMATANO MKOANI IRINGA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA RUKWA Anuani ya simu:”REGCOM” Simu Na:(025)-2802138/2802144 Fax Na. (025) 2802217 Baruapepe: rasrukwa@yahoo.com
OFISI YA MKUU WA MKOA,
S.L.P. 128,
SUMBAWANGA.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella M. Manyanya (Mb) kwa masikitiko makubwa anapenda kuwajulisha juu msiba mkubwa ulioukumba Mkoa wetu wa Rukwa wa kuondokewa na Mkuu wa...
MKOA WA RUKWA Anuani ya simu:”REGCOM” Simu Na:(025)-2802138/2802144 Fax Na. (025) 2802217 Baruapepe: rasrukwa@yahoo.com
![](http://2.bp.blogspot.com/-QOwA3H--RtQ/U1VAqKk_nsI/AAAAAAAAFWo/FSbnbPLRrwk/s1600/Untitled-1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella M. Manyanya (Mb) kwa masikitiko makubwa anapenda kuwajulisha juu msiba mkubwa ulioukumba Mkoa wetu wa Rukwa wa kuondokewa na Mkuu wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania