Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Viti maalumu CUF, MH. Clara Mwatuka Afariki Dunia ajalini jioni ya leo

Taarifa iliyotufikia hivi punde inaeleza kuwa Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi CUF, Mh. Clara Mwatuka, amefariki dunia jioni ya leo kwa ajali baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuja Ndanda.
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo Hospitali ya Rufaa ya Ndanda, Mkoani Mtwara.
Globu ya Jamii inaungana na Familia ya Marehemu katika kipindi hiki kigumu, na tunamuombea kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka afariki Dunia kwa ajali!


Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF mama Mwatuka amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuja Ndanda.Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospital.

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI

Clara Mwatuka enzi za uhai wake. Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Clara Mwatuka, amefariki dunia leo Jumapili jioni baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuelekea Ndanda, Masasi mkoani Mtwara. Gari alilopata nalo ajali marehemu Mwatuka. Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka...

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa rasmi ya kifo cha aliyekuwa mbunge viti maalum (CUF) Mhe. Clara Diana Mwatuka

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) anasikitika kutangaza kifo cha Mhe. Clara Diana Mwatuka (Mb), aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama cha Wananchi, (CUF) Mkoa wa Mtwara, kilichotokea jana Jumapili tarehe 9 Agosti 2015 kwa ajali ya gari katika Kijiji cha Miyuyu, Newala, Mkoani Mtwara.


Mipango ya Mazishi inaendelea kufanywa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu, ambapo mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho siku ya Jumanne tarehe 11 Agosti, 2014 saa 9:00 Alasiri,...

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ........: GEORGE TYSON HATUNAYE TENA,AFARIKI DUNIA AJALINI MKONI MOROGORO

TAARIFA ZILIZOIFIKIWA GLOBU YA JAMII USIKU HUU,ZINAELEZA KUWA ALIEKUWA MUONGOZAJI WA FILAMU NA VIPINDI MBALI MBALI VYA TELEVISHENI HAPA NCHINI,GEORGE TYSON (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA.
GEORGE TYSON AMEFIKWA NA MAUTI HAYO USIKU HUU BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA SANA KUTOKANA NA GARI WALIOLOKUWA WAKISAFIRIA KUTOKA MKOANI DODOMA KUJA DAR ES SALAAM,WAKITOKEA KWENYE HAFLA YA KUADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KIPINI CHA TELEVISHENI CHA THE MBONI SHOW,KUPINDUKA MARA KADHAA KUTOKANA NA KUPASUKA KWA MIPIRA...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Ukonga, Mh. Eugene Mwaiposa afariki dunia

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIABUNGE LA TANZANIA 
 TANZIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Mhe. EUGEN ELISHIRINGA  MWAIPOSA  kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 2 June 2015 nyumbani kwake Dodoma ambako amekuwepo kushiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti.
Mwili wa Marehemu utaagwa kesho tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa nyumbani kwake...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge Clara Mwatuka kuzikwa leo Masasi

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Clara Mwatuka amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia juzi mjini hapa na atazikwa leo.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ......: Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Dodoma afariki dunia

Taatifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde, inaeleza kuwa Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoani Dodoma, Mariam Mfaki amefariki dunia leo katika Hospitali ya Dodoma, alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa kansa uliokuwa ukimsumbua, familia yake imethibitisha kutokea kwa kifo hicho.Taarifa zaidi tutaendelea kuwajuza kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Mungu aiweke Roho yake mahala pema Peponi
-Amin.

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: MZEE SMALL AFARIKI DUNIA USIKU HUU

MUIGIZAJI MKONGWE HAPA NCHINI,SAID NGAMBA MAARUFU KWA JILA LA MZEE SMALL AMEFARIKI DUNIA USIKU WA LEO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI ALIKOKUWA AMELAZWA AKIPATIWA MATIBABU.
AKITHIBITISHA TAARIFA YA KIFO CHA MZEE SMALL,MWANAE AITWAE MAHMOUD AMESEMA MZEE WAKE AMEFIKWA NA MAUTI HAYO MAJIRA YA SAA NNE USIKU WAKATI AKIWA HOSPITALINI HAPO AKIENDELEA KUPATIWA MATIBABU.
MIPANGO INAFANYIKA NYUMBANI KWAO TABATA NA KADRI TAARIFA ZITAKAVYOKUWA ZIKITUFIKIA TUTAENDELEA KUJULISHANA.
NI PIGO...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ALIPOTEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani,Mugiri Emili kushoto akimuelekeza jambo Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau ambaye alitembelea hospitali hiyo jana kuwafariji wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hiyo na kugawana zawadi ambazo ni sabuni,Poda,sukari ikiwemo mahitaji muhimu pamoja na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga mbunge huyo kwa gharama za milioni 5kushoto ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani,Mugiri Emili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani