Mbunge Clara Mwatuka kuzikwa leo Masasi
Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Clara Mwatuka amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia juzi mjini hapa na atazikwa leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s72-c/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Viti maalumu CUF, MH. Clara Mwatuka Afariki Dunia ajalini jioni ya leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s640/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo Hospitali ya Rufaa ya Ndanda, Mkoani Mtwara.
Globu ya Jamii inaungana na Familia ya Marehemu katika kipindi hiki kigumu, na tunamuombea kwa...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/mwatuka.jpg)
MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka afariki Dunia kwa ajali!
![](http://www.bungemaalum.go.tz/files/members/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF mama Mwatuka amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuja Ndanda.Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospital.
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/p160x160/11811391_497680753741077_5479242452651876403_n.jpg?oh=0fdaff60cadd649648564a2e6898cf6f&oe=5684018D&__gda__=1448296863_1785c8e337c16723925f4198373e4a9a)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t34.0-12/s851x315/11855310_497675887074897_780490772_n.jpg?oh=f840d175f4aa0d77657654d482ac32cd&oe=55C96074)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Obajdy2LniA/VciSXHmcKGI/AAAAAAAHvtE/PV8CZwnnNzs/s72-c/ww.png)
Taarifa rasmi ya kifo cha aliyekuwa mbunge viti maalum (CUF) Mhe. Clara Diana Mwatuka
![](http://3.bp.blogspot.com/-Obajdy2LniA/VciSXHmcKGI/AAAAAAAHvtE/PV8CZwnnNzs/s640/ww.png)
Mipango ya Mazishi inaendelea kufanywa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu, ambapo mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho siku ya Jumanne tarehe 11 Agosti, 2014 saa 9:00 Alasiri,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83t9vQg16hKEGVw6oN0tDyA7cFNBIer-t0uaU3dIQd3RHBuE66FYCtXbnKXFZcfH6Z9qjkX242ufGRVbUHCtou2T/donald.jpg)
MBUNGE WA GEITA, DONALD MAX KUZIKWA JUMAMOSI
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RIQGx98mbdE/VgGEMPxIS6I/AAAAAAAACgU/kbptcojTXyk/s72-c/MMG_3540.jpg)
LOWASSA ALIVYOFUNGA KAZI MASASI, MKOANI MTWARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIQGx98mbdE/VgGEMPxIS6I/AAAAAAAACgU/kbptcojTXyk/s640/MMG_3540.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y3rPtsRoIO0/VgGEP8A9SvI/AAAAAAAACgw/RQdMt5XofY4/s640/MMG_3572.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 Feb
Mez B kuzikwa Dodoma leo
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MWILI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Moses Bushagama ‘Mez B’, unatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya wahanga wa treni, Mailimbili mkoani hapa.
Mez B alifariki dunia Ijumaa ya wiki iliyopita, mjini hapa wakati akiwaishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kuugua ugonjwa wa Pneumonia.
Akizungumza na MTANZANIA jana mjini hapa, mama mzazi wa marehemu, Merry Katambi, alisema mwanaye atazikwa leo katika makaburi hayo ya wahanga wa treni.
Alisema...
11 years ago
Habarileo14 May
Balozi wa Malawi kuzikwa leo
BALOZI wa Malawi nchini Tanzania aliyefariki ghafla Ijumaa iliyopita jijini Dar es Salaam, Flossie Gomile-Chidyaonga, anatazamiwa kuzikwa leo katika jiji alilozaliwa la Blantyre, Malawi.
10 years ago
Bongo Movies29 Mar
Difender Kuzikwa Leo Magomeni
MCHEKESHAJI Fadhil Said ‘Diffender’ anatarajhia kuzikwa leo katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni, saa kumi alasiri , msani huyo aliyefariki jana baada ya kuumwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Taifa Muhimbili.
Akiongea na Bongo Movies.com mkuu wa maafa kitaifa Kafiten amesema kuwa marehemu alilazwa katika Hospitali hiyo akisumbuliwa na maradhi yaliyoshambulia mapafu pamoja na kutapika damu akiwa katika wodi ya Mwaisela.
“Msiba upo nyumbani kwao Kigogo shughuli zote zitafanyika...