LOWASSA ALIVYOFUNGA KAZI MASASI, MKOANI MTWARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIQGx98mbdE/VgGEMPxIS6I/AAAAAAAACgU/kbptcojTXyk/s72-c/MMG_3540.jpg)
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwasili kwenye Uwanja wa Boma, Mjini Masasi Mkoani Mtwara, kulikifanyika Mkutano wake wa Kampeni za kuomba ridhaa ya wananchi kugombea nafasi, uliofanyika leo Septemba 22, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, MASASI.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono wananchi wa Mji wa Masasi, Mkoani Mtwara, muda...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s72-c/_MG_1288.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI JIONI YA LEO MKOANI MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s640/_MG_1288.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9Wm9uEDFXXc/Veb97DsxJ7I/AAAAAAAC-Rs/B9x0pkbb8RE/s640/MIE.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli,akiwahutubia wananchi wa mji wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa kampeni unaoendelea jioni hii katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PpxOhq6_WDI/UvsXfdr8SSI/AAAAAAAFMdw/-1izxQdMW7Y/s72-c/mkalapa+Masasi+(3).jpg)
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi mkoani Mtwara ni balaa tupu
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi eneo la Kijiji cha Mkalapa,limekuwa ni majanga matupu kama inavyoonekana katika picha hapo chini,kwani barabara hiyo imeharibika vibara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha matika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Abiria wanaofanya safari katika maeneo hayo,inapaswa wajiandae kwa kupoteza masaa kadhaa katika eneo hilo,kwani mambo hayajakaa sawa.
Hivyo wakala wa Barabara Mkoa wa Mtwara (TANROADS),wanapaswa kulishughulikia swala...
11 years ago
Dewji Blog19 May
Mafunzo ya Maadili na kuandika Habari za Jinsia na Migogoro yafanyika Masasi, Mkoani Mtwara
Mkurugenzi wa Fadhila FM Redio, Br. Edwin Mpokasye akiwakaribisha washiriki katika ufunguzi wa warsha ya Maadili na kuandika Habari za Jinsia na Migogoro kwa waandishi wa habari wa Redio za Jamii iliyofanyika Masasi mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Fadhila FM Redio, Br. Edwin Mpokasye akikabidhi risala aliyoitoa kwa Mkuu wa Wilaya ya Masasi Farida Mgomi wakati wa hafla fupi ya ufunguzi wa warsha hiyo.
Mshauri na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa ufafanuzi...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s72-c/_MG_1288.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI MKOANI MTWARA,AHIDI KUSHUSHA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s640/_MG_1288.jpg)
Dkt John Magufuli amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu mwaka huu ,Serikali yake itashusha bei ya vifaa vya ujenzi hasa bati na saruji,amesema kuwa serikali yake inataka kurahisisha maisha ya watanzania wote na hivyo...
10 years ago
Michuzi26 Nov
Kinana aunguruma wilayani Nanyumbu mkoani mtwara, akagua miradi ya maendeleo na kushiriki katika kazi
![](https://3.bp.blogspot.com/-cUPP_f1UqF8/VHTYYMZzyiI/AAAAAAAAT24/HmYmGAWr8wM/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-18fcIkhbv7c/VHTYpv88f6I/AAAAAAAAT5E/xyLjUuiTfxg/s1600/3.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-HjHxkHe3aoM/VHTYuzD8aAI/AAAAAAAAT5o/Aj1b_FAZIrU/s1600/4.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-xOT28tU3BQo/VHTYv3icWQI/AAAAAAAAT50/y3KpwcVMv44/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Magufuli katika ubora wake Mkoani Mtwara jioni ya leo
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi
Dkt John Pombe Magufuli,akiwahutubia wananchi wa mji wa Mtwara
waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa kampeni
unaoendelea jioni hii katika uwanja wa Mashujaa.Wakazi wa mji wa Mtwara wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa
hadhara wa kampeni za CCM,unaofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa
CCM,wakimsikiliza mgombea Urais wa chama hicho Dkt John Pombe Magufuli.
Picha ya juu na chini wafuasi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jTvtmlOmaqU/VeNdfLx_8LI/AAAAAAAAApI/azOf68-mNb0/s72-c/OTH_2143.jpg)
LOWASSA AFUNGA KAZI MKOANI IRINGA KATIKA MKUTANO WAKE WA KAMPENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jTvtmlOmaqU/VeNdfLx_8LI/AAAAAAAAApI/azOf68-mNb0/s640/OTH_2143.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YOnVU8rT8rI/VeNc2jghEsI/AAAAAAAAAoo/uUlsHiq6EwI/s640/OTH_2096.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s72-c/_MG_4455.jpg)
JK AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UB0CWUvfB3w/VcdCU8rjRNI/AAAAAAAC9gA/QHJXiLVZqwg/s640/_MG_4500.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-B9-UUA0L0rg/VgGy-k_73LI/AAAAAAAB-bE/dIbsDjLk9Y8/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais Mgeni Rasmin Siku ya BAHARI Duniani Mkoani Mtwara leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B9-UUA0L0rg/VgGy-k_73LI/AAAAAAAB-bE/dIbsDjLk9Y8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YIRVF-42pDY/VgGzAq1OiBI/AAAAAAAB-bM/dcNOyluKKD8/s640/2.jpg)