Mafunzo ya Maadili na kuandika Habari za Jinsia na Migogoro yafanyika Masasi, Mkoani Mtwara
Mkurugenzi wa Fadhila FM Redio, Br. Edwin Mpokasye akiwakaribisha washiriki katika ufunguzi wa warsha ya Maadili na kuandika Habari za Jinsia na Migogoro kwa waandishi wa habari wa Redio za Jamii iliyofanyika Masasi mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Fadhila FM Redio, Br. Edwin Mpokasye akikabidhi risala aliyoitoa kwa Mkuu wa Wilaya ya Masasi Farida Mgomi wakati wa hafla fupi ya ufunguzi wa warsha hiyo.
Mshauri na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa ufafanuzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Dec
Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta
Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.
Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...
11 years ago
Michuzi26 Apr
Mahafali ya Pili Chuo cha Mafunzo ya Jinsia Tanzania Yafanyika
![Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro (kushoto) akiwahutubia wahitimu wa mahafali ya pili ya chuo hicho leo katika viwanja vya TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0208.jpg)
![Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (wa pili kushoto) akitoa hotuba yake kwa wanamahafali wa mafunzo ya jinsia katika chuo cha GTI leo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0183.jpg)
![Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro pamoja na Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi (kulia) wakiongoza maandamano ya wanamahafali ya pili ya Chuo cha GTI kuelekea ukumbuni kabla ya kuanza kwa hafla hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0056.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro pamoja na Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RIQGx98mbdE/VgGEMPxIS6I/AAAAAAAACgU/kbptcojTXyk/s72-c/MMG_3540.jpg)
LOWASSA ALIVYOFUNGA KAZI MASASI, MKOANI MTWARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIQGx98mbdE/VgGEMPxIS6I/AAAAAAAACgU/kbptcojTXyk/s640/MMG_3540.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y3rPtsRoIO0/VgGEP8A9SvI/AAAAAAAACgw/RQdMt5XofY4/s640/MMG_3572.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PpxOhq6_WDI/UvsXfdr8SSI/AAAAAAAFMdw/-1izxQdMW7Y/s72-c/mkalapa+Masasi+(3).jpg)
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi mkoani Mtwara ni balaa tupu
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi eneo la Kijiji cha Mkalapa,limekuwa ni majanga matupu kama inavyoonekana katika picha hapo chini,kwani barabara hiyo imeharibika vibara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha matika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Abiria wanaofanya safari katika maeneo hayo,inapaswa wajiandae kwa kupoteza masaa kadhaa katika eneo hilo,kwani mambo hayajakaa sawa.
Hivyo wakala wa Barabara Mkoa wa Mtwara (TANROADS),wanapaswa kulishughulikia swala...
11 years ago
MichuziWARSHA YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANDISHI WA HABARI ZA KITAKWIMU YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
WAANDISHI wa Habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kwa ajili ya kuhamasisha Umma kuhusu umuhimu wa Takwimu.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Takwimu za Kiuchumi Morice Oyuke kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa.mjini Morogoro leo asubuhi wakati akifungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za kitakwimu.
"Ninyi wanahabari ni muhimu katika masuala...
11 years ago
GPLWARSHA YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANDISHI WA HABARI ZA KITAKWIMU YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-82.png)
WAZIRI LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI MTWARA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjhkoxQtdwM/XvGMSKphE9I/AAAAAAALvAw/hkWRIMl9X2cm7AvakInSSJomQA8FpIRPQCLcBGAsYHQ/s72-c/105275251_10158442040819722_4304338084191711700_n.jpg)
MAFUNZO YA UHAMASISHAJI NA WAELIMISHAJI WA MTANDAO WA WANAWAKE KATIKA JESHI LA MAGEREZA NCHINI YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Na Sajini Taji, Shani Mhando, Morogoro
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Jinsia katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto Bi.Mboni Mgaza amepongeza kuanzishwa kwa mtandao wa wanawake katika Jeshi la Magereza nchini.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo ya mtandao wa wanawake katika Jeshi la Magereza jana Mkoani Morogoro, Bi Mboni amesema, hii ni hatua nzuri sana yakupongezwa kwa Jeshi hilo kwani itahakikisha wanawake katika nyanja zote wanatumia fursa...
11 years ago
Dewji Blog22 Jun
Warsha ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu uandishi wa habari za kitakwimu yafanyika mkoani Morogoro
Mkurugenzi wa Takwimu za Kijamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Morice Oyuke (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Morogoro leo wakati akifungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za kitakwimu. Kulia ni Meneja wa Takwimu za Pato la Taifa, Daniel Masolwa.
Meneja wa Takwimu za Pato la Taifa, Daniel Masolwa (kulia), akitoa mada katika warsha hiyo. Kushoto ni Watakwimu, Stephano Cosmas na Hashim Njowele.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10