Barabara ya Ndanda kwenda Masasi mkoani Mtwara ni balaa tupu
![](http://3.bp.blogspot.com/-PpxOhq6_WDI/UvsXfdr8SSI/AAAAAAAFMdw/-1izxQdMW7Y/s72-c/mkalapa+Masasi+(3).jpg)
Na Abdulaziz Video,Masasi.
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi eneo la Kijiji cha Mkalapa,limekuwa ni majanga matupu kama inavyoonekana katika picha hapo chini,kwani barabara hiyo imeharibika vibara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha matika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Abiria wanaofanya safari katika maeneo hayo,inapaswa wajiandae kwa kupoteza masaa kadhaa katika eneo hilo,kwani mambo hayajakaa sawa.
Hivyo wakala wa Barabara Mkoa wa Mtwara (TANROADS),wanapaswa kulishughulikia swala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sgqckxh3eBQ/VBRten4g07I/AAAAAAABIts/F2bPvNlEilE/s72-c/IMG-20140913-WA0032-2.jpg)
NSSF YADHAMINI PAMBANO LA SIMBA NA NDANDA FC MKOANI MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sgqckxh3eBQ/VBRten4g07I/AAAAAAABIts/F2bPvNlEilE/s1600/IMG-20140913-WA0032-2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XBLcGL8QXUk/VBRxjDL_htI/AAAAAAABIuQ/7cfxoSODHwk/s1600/IMG-20140913-WA0014-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nY3zScmEEkY/VBSVhvCwAWI/AAAAAAABIus/bNF4CbtixRE/s1600/IMG-20140913-WA0029.jpg)
Kwa habari kamili na...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RIQGx98mbdE/VgGEMPxIS6I/AAAAAAAACgU/kbptcojTXyk/s72-c/MMG_3540.jpg)
LOWASSA ALIVYOFUNGA KAZI MASASI, MKOANI MTWARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIQGx98mbdE/VgGEMPxIS6I/AAAAAAAACgU/kbptcojTXyk/s640/MMG_3540.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y3rPtsRoIO0/VgGEP8A9SvI/AAAAAAAACgw/RQdMt5XofY4/s640/MMG_3572.jpg)
11 years ago
Dewji Blog19 May
Mafunzo ya Maadili na kuandika Habari za Jinsia na Migogoro yafanyika Masasi, Mkoani Mtwara
Mkurugenzi wa Fadhila FM Redio, Br. Edwin Mpokasye akiwakaribisha washiriki katika ufunguzi wa warsha ya Maadili na kuandika Habari za Jinsia na Migogoro kwa waandishi wa habari wa Redio za Jamii iliyofanyika Masasi mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Fadhila FM Redio, Br. Edwin Mpokasye akikabidhi risala aliyoitoa kwa Mkuu wa Wilaya ya Masasi Farida Mgomi wakati wa hafla fupi ya ufunguzi wa warsha hiyo.
Mshauri na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa ufafanuzi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsC546oaprouqWMAFUkwfzy5qhCY7kz2*CA985fdIA6dVdi*9*cmav1iIkNwbewwYKEVBaq6IVCq0NRuzWqDOPg/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
NDOTO NYINGINE BALAA TUPU!
10 years ago
Mwananchi20 Apr
Wizi wa magari ni balaa tupu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5W1fGMD3XQTUpAsup-ugIBV2R6vWoNgpTipGru7JfiSAPytz*g5PJXrA-M2XebI9v*topEX9RlNc-ENJtaVJ3tpUX85wQZLN/mariamenounostwitterwallpaper.jpg?width=650)
UNYAGO WA KICHINA NA WANAWAKE WA KISASA, BALAA TUPU
9 years ago
Habarileo02 Sep
Ndanda yaanza kujinoa Mtwara
BAADA ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1 na Azam FC, kikosi cha Ndanda FC, kimeanza kujinoa kwenye Uwanja wa Chuo cha Ualimu kilichopo Mikindani Manispaa ya Mtwara kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania bara ambao utaanza Septemba 12.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NKVuDLwPXdE/VOXTgmYpTUI/AAAAAAAHEi4/h5ogjHxCH3E/s72-c/coastal.jpg)
COASTAL UNION WAIFUATA NDANDA MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NKVuDLwPXdE/VOXTgmYpTUI/AAAAAAAHEi4/h5ogjHxCH3E/s1600/coastal.jpg)
Coastal Union ambayo mechi yao iliyopita dhidi ya Mbeya City iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani haikupata matokeo mazuri sana baada ya kulazimishwa sare hivo itaingia kwenye mechi hiyo mithili ya mbogo aliyejeruhiwa msituni.
Akizungumzia maandalizi ya kuelekea mchezo huo,Kocha Mkuu wa Coastal...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ugawaji pembejeo Mtwara kero tupu, wakulima walia