Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDOTO NYINGINE BALAA TUPU!

Ndoto bwana, mara nyingine ziko poa mara nyingine unajilaumu kwa nini ulilala. We fikiria unaweza kuota unafukuzwa na mbwa mtaani huna hata nguo moja,  kila ukikata kona huyu hapa, unaamka jasho chapachapa, au unaota uko vitani tena zile vita za kizamani za mapanga, ile unataka kukatwa kichwa unashtuka, ukitaka kulala inarudia palepale utadhani unaangalia muvi. Halafu kuna zile ndoto za maudhi, we fikiria unaota umekaribishwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wizi wa magari ni balaa tupu

Dar es Salaam. Wezi wa vifaa vya magari jijini hapa wameunda mtandao mzito kama vile wana ‘serikali yao’ inayowalazimisha waathirika kuacha kutoa taarifa polisi badala yake kwenda kununua upya vifaa kwa wezi hao.

 

10 years ago

GPL

UNYAGO WA KICHINA NA WANAWAKE WA KISASA, BALAA TUPU

Kama kawa nimerudi tena nikiwa na hasira kama faru aliyejeruhiwa, nakuuliza hivi kwa nini lakini? Tabia hiyo ndo uliyofundwa mkoleni? Jamani kabila lako si ndiyo  mafundi wa kuwaweka ndani wanawari, mnafundishwa nini, kuogea machicha ya nazi? Loh! Mwana mbona unatia aibu kabila lako? Unamuaibisha somo yako na kuonekana mafunzo yote aliyokupa ulipokuwa mkoleni kazi bure.Jamani hivi ewe mwana, kutulia kwako kuna nini? Nyumba...

 

11 years ago

Michuzi

Barabara ya Ndanda kwenda Masasi mkoani Mtwara ni balaa tupu

Na Abdulaziz Video,Masasi.
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi eneo la Kijiji cha Mkalapa,limekuwa ni majanga matupu kama inavyoonekana katika picha hapo chini,kwani barabara hiyo imeharibika vibara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha matika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Abiria wanaofanya safari katika maeneo hayo,inapaswa wajiandae kwa kupoteza masaa kadhaa katika eneo hilo,kwani mambo hayajakaa sawa.
Hivyo wakala wa Barabara Mkoa wa Mtwara (TANROADS),wanapaswa kulishughulikia swala...

 

11 years ago

GPL

UZEMBE TUPU

KIMENUKA! Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam imebainika kuwa na uzembe uliopitiliza, hali inayowafanya wagonjwa kuendelea kuilalamikia kila kukicha, Uwazi lina mlolongo wote. Uzembe huo umebainika baada ya makachero wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wanaopata huduma duni katika hospitali hiyo huku wakilalamikia uzembe wa matabibu na rushwa kwa baadhi ya wahudumu. Mtoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Presha tupu,

Ni presha kila kona ndivyo unavyoweza kusema kwa sasa jinsi Ligi Kuu Bara inavyoendelea katika mbio za ubingwa na wale wanaopigania kujinasua na janga la kushuka daraja msimu huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM rafu tupu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na makada wa Chama cha ACT-Tanzania, wanadaiwa kuendesha mkakati wa kuvuruga uchaguzi wa kitaifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuzima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatari tupu TFDA

UZEMBE wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) wa kutochukua hatua stahiki dhidi ya mmiliki wa duka la dawa baridi la Core Pharmacy, Sohil Lalani aliyelalamikiwa na Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wambura shaka tupu

Jinamizi la kuipeleka Simba mahakamani limeendelea kumtesa Michael Wambura kuwania urais ndani ya klabu hiyo, na sasa atakutana uso kwa uso na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA PRESHA TUPU!

Mwandishi  wetu
SIYO siri! Huku jana akiwa ametarajiwa kuripoti tena Kituo Kikuu cha Polisi, Dar (Central) kauli ya serikali kwamba, taasisi za dini ambazo viongozi wake wamekuwa wakitoa matamshi yenye mlengo wa kisiasa zitafutwa mara moja kwani ni kinyume na sheria ya usajili inadaiwa kumpa presha Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Juzi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani