Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura shaka tupu

Jinamizi la kuipeleka Simba mahakamani limeendelea kumtesa Michael Wambura kuwania urais ndani ya klabu hiyo, na sasa atakutana uso kwa uso na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Usajili Simba shaka

Kundi maarufu la Friends Of Simba wamesimamisha zoezi la usajili la wachezaji wa klabu hiyo wakidaiwa kupima kwanza upepo.

 

10 years ago

Mwananchi

Deni la Taifa linapotiliwa shaka

Limekuwa jambo la kawaida sasa kwa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za kila mwaka kuibua madudu mengi ya kutisha kuhusu matumizi ya fedha za Serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uamuzi wa Uturuki watiliwa shaka na US

Marekani imetilia shaka uamuzi wa Uturuki wa kutaka kutenga eneo la amani la kutumiwa na raia Kaskazini mwa Syria kwa msaada wa Marekani na mataifa mengine washirika.

 

10 years ago

Habarileo

Shaka zatawala muswada wa maadili

BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamegawanyika kuhusu muswada wa kuweka maadili ya viongozi wa umma ambapo wamekuwa na wasiwasi kama muswada huo unaweza kufanya kazi zake vizuri na kuwatia hatiani wahusika kwa sababu unawahusu moja kwa moja viongozi wa ngazi za juu serikalini.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaja, Coutinho viwango shaka

Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Zamoyoni Mogella ameishangaa Yanga kutumia fedha nyingi kusajili wachezaji wa Kibrazili wenye viwango vya kawaida.

 

9 years ago

Habarileo

DP watilia shaka ajali ya Mtikila

CHAMA cha Democtratic Party (DP) kimesema kimesikitishwa na mazingira yaliyosababisha kifo cha Mwenyekiti wa chama hicho, Mchungaji Chrisopher Mtikila. Taarifa ya chama hicho iliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Naibu Katibu Mkuu wa DP upande wa Tanganyika, Abdul Mluya ilidai kuwa kifo cha kiongozi huyo kinaonesha mazingira ya utata.

 

11 years ago

Mwananchi

Kipa Berko awatoa shaka Simba

Kipa mpya wa Simba,Yaw Berko amewatoa shaka mashabiki wa timu hiyo baada ya kusema yuko fiti kusimama langoni na kuhakikisha hakuna bao linalotinga wavuni wakati wa mchezo dhidi ya Yanga

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Uadilifu wangu hauna shaka

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema uadilifu wake ni wa kuaminika na ameamua kujitoa sadaka kwa ajili ya kutumikia Watanzania katika uhai wake. Akihutubia mkutano wa kampeni mjini Katesh wilayani Babati mkoani Manyara, jana, Magufuli alisema anachotaka ni kufanya kazi na si siasa.

 

10 years ago

GPL

SHILOLE, NINA SHAKA NA UANAMKE WAKO!

NIrahisi zaidi kumpata kama utatumia jina la Shilole, kwa sababu mashabiki wake wengi kila kona wanamtambua kwa jina hilo la kisanii, ingawa alipozaliwa, wazazi wake walimpa jina la Zuwena Mohamed. Nitakuwa sijakosea nikimuita Shilole kama mjasiriamali, kwa sababu ni mwanamke mtafutaji, siyo kama wale akina dada wanaouza sura mijini, kipato chao kikubwa wakitarajia kutoka kwa wanaume. Huyu mdada ni shoka, anajichanganya kila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani