Shaka zatawala muswada wa maadili
BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamegawanyika kuhusu muswada wa kuweka maadili ya viongozi wa umma ambapo wamekuwa na wasiwasi kama muswada huo unaweza kufanya kazi zake vizuri na kuwatia hatiani wahusika kwa sababu unawahusu moja kwa moja viongozi wa ngazi za juu serikalini.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
11 years ago
MichuziWatumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.
10 years ago
MichuziSekretarieti ya Maadili waendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Polisi Zanzibar
Mafunzo hayo yana lengo la kuwasaidia watendaji hao wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar kuweza kuondokana na changamoto nyingi za uvunjifu wa maadili ambazo watendaji hao wamekuwa wakikabiliana nazo.
Mafunzo hayo pia yana lengo la kuwakumbusha watendaji hao jinsi...
10 years ago
MichuziMashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
9 years ago
Michuzi17 Oct
10 years ago
Vijimambo19 Jan
Sare zatawala AFCON
Cape Verde walifanikiwa kusawazisha bao na kuwazuia Tunisia kuondoka na pointi zote tatu kwenye mechi ya kundi B. Tunisia walifunga kupitia kwa Mohamed Ali Moncer, lakini likasawazishwa na Héldon Ramos.
Tunisia waliofuzu kwa mashindano haya kwa mara ya 12 mfululizo, walipata pigo kabla ya...
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Kampeni za Fella burudani zatawala
WAKALI wa muziki wa Bongo Fleva, juzi walifunga kampeni za mgombea udiwani wa Kata ya Kilungule, Mbagala, jijini Dar es Salaam, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Said Fella kwa kupagawisha wakazi wa eneo hilo kwa onyesho la aina yake.
Shamra shamra za wakazi wa eneo hilo zilianza baada ya kusikika uwepo wa wasanii maarufu na wenye majina
makubwa nchini akiwemo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, Nurdin Bilal ‘Shetah’, Hamis Mwinjuma ‘Fa’, kundi la Yamoto na wengine wengi.
Baadhi ya wasanii...
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Ligi ya mabingwa sare zatawala ufunguzi