Ligi ya mabingwa sare zatawala ufunguzi
Mechi mbili za kwanza katika hatua ya kumi na sita bora ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya zimemalizika kwa sare.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Jan
Sare zatawala AFCON
![image](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/01/image6-722x400.jpg)
Cape Verde walifanikiwa kusawazisha bao na kuwazuia Tunisia kuondoka na pointi zote tatu kwenye mechi ya kundi B. Tunisia walifunga kupitia kwa Mohamed Ali Moncer, lakini likasawazishwa na Héldon Ramos.
Tunisia waliofuzu kwa mashindano haya kwa mara ya 12 mfululizo, walipata pigo kabla ya...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Sare tu Ligi Kuu bara
Simba imeshindwa kujinasua kwenye nafasi za chini kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kutoka sare tasa ya 0-0 dhidi ya Coastal Union katika siku iliyotawaliwa na sare lukuki kwenye viwanja vingi nchini.
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Vigogo wa Ligi England waambulia sare
Vigogo Manchester City,Chelsea na Man United wamejikuta wakiambaulia sare katika michezo yao ya ligi ya England.
9 years ago
Vijimambo07 Sep
OLJORO KUCHUANA NA ARUSHA FC, UFUNGUZI WA LIGI YA NYERERE CUP SEPTEMBA 10
Timu ya maafande wa Jkt Oljoro inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania bara inatarajia kuchuana vikali na ndugu zao timu ya Arusha FC katika ufunguzi wa ligi maalum ya Nyerere cup inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi septemba 10 jiji Arusha.
Tiyari timu ya Arusha fc na Jkt Oljoro zimethibitisha kushiriki michuano hiyo huku kila mmoja akijitamba kuonyesha ubabe dhidi ya mwenzake na pia wakitumia mechi hiyo kutambulisha wachezaji wao kwa wapenzi wa Soka wa jiji Arusha.
Mechi hiyo ya ufunguzi...
Tiyari timu ya Arusha fc na Jkt Oljoro zimethibitisha kushiriki michuano hiyo huku kila mmoja akijitamba kuonyesha ubabe dhidi ya mwenzake na pia wakitumia mechi hiyo kutambulisha wachezaji wao kwa wapenzi wa Soka wa jiji Arusha.
Mechi hiyo ya ufunguzi...
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/CNbez2hWIAA8noq-1.jpg)
MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA
Kundi A
1. Paris St-Germain
2. Real Madrid
3. Shakhtar Donetsk
4. Malmö FF
Kundi B
1. PSV Eindhoven
2. Manchester United
3. CSKA Moscow
4. Wolfsburg Kundi C
1. Benfica
2. Atlético Madrid
3. Galatasaray
4. Astana Kundi D
1. Juventus
2. Manchester City
3. Sevilla
4. B.Mö’gladbach Kundi E
1. Barcelona
2. Bayer Leverkusen
3. Roma
4. BATE Borisov
Kundi F
1. Bayern Munich
...
11 years ago
Mwananchi16 May
CDA chupuchupu Ligi ya Mabingwa
>Klabu ya soka ya CDA ya Dodoma imenusurika kichapo mbele ya African Sports ya Tanga, huku Kiluvya FC ikiendeleza kugawa pointi katika Ligi ya Mabingwa wa mikoa inayoendelea kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Ligi ya Mabingwa 2013-2014
Hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya 2013/14 itaendelea kesho na keshokutwa.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania