Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ligi ya Mabingwa 2013-2014

Hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya 2013/14 itaendelea kesho na keshokutwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ligi ya Mabingwa 2013-2014: Tumaini la mwisho kwa Manchester United

>Manchester United, ambayo msimu huu inaonekana kupoteza nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa wa Ulaya, wiki hii itaanza kutupa kara zake za mwisho kwenye michuano hiyo wakati wa mechi za robo fainali zitakazochezwa kesho na keshokutwa

 

11 years ago

GPL

AZAM FC BINGWA LIGI KUU BARA 2013/2014

Ni baada ya kuilaza Mbeya City bao 2-1 katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya hivi punde na kufikisha jumla ya pointi 59 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote!

 

10 years ago

Michuzi

YANGA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1.
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Sepp Blatter...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya mabingwa wapya wa Cecafa 2013

Timu ya Kenya, Harambee Stars imetawazwa mabingwa wapya wa kombe la CECAFA 2013/2014

 

11 years ago

Mwananchi

CDA chupuchupu Ligi ya Mabingwa

>Klabu ya soka ya CDA ya Dodoma imenusurika kichapo mbele ya African Sports ya Tanga, huku Kiluvya FC ikiendeleza kugawa pointi katika Ligi ya Mabingwa wa mikoa inayoendelea kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni kivumbi ligi ya mabingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya itaendelea jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani