OLJORO KUCHUANA NA ARUSHA FC, UFUNGUZI WA LIGI YA NYERERE CUP SEPTEMBA 10
Timu ya maafande wa Jkt Oljoro inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania bara inatarajia kuchuana vikali na ndugu zao timu ya Arusha FC katika ufunguzi wa ligi maalum ya Nyerere cup inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi septemba 10 jiji Arusha.
Tiyari timu ya Arusha fc na Jkt Oljoro zimethibitisha kushiriki michuano hiyo huku kila mmoja akijitamba kuonyesha ubabe dhidi ya mwenzake na pia wakitumia mechi hiyo kutambulisha wachezaji wao kwa wapenzi wa Soka wa jiji Arusha.
Mechi hiyo ya ufunguzi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
ARUSHA FC YAWATOA JASHO JKT OLJORO NYERERE CUP

Mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, uliwashuhudia maafande hao wa Oljoro wakianza kucheka na nyavu za AFC baada ya kujipatitia bao lake kupitia kwa mchezaji Swalehe Idd alilofunga kwa njia ya Penalti...
10 years ago
Vijimambo
LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12

Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ligi kuu Tanzania kuanza Septemba
10 years ago
Michuzi20 Oct
KIIZA MCHEZAJI BORA WA LIGI YA VODACOM SEPTEMBA

10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Ligi ya mabingwa sare zatawala ufunguzi
11 years ago
Michuzi
Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014

Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...
11 years ago
GPL
MECHI ZA LEO LIGI KUU YA TANZANIA BARA SEPTEMBA 27, 2014