Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OLJORO KUCHUANA NA ARUSHA FC, UFUNGUZI WA LIGI YA NYERERE CUP SEPTEMBA 10

Timu ya maafande wa Jkt Oljoro inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania bara inatarajia kuchuana vikali na ndugu zao timu ya Arusha FC katika ufunguzi wa ligi maalum ya Nyerere cup inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi septemba 10 jiji Arusha.
Tiyari timu ya Arusha fc na Jkt Oljoro zimethibitisha kushiriki michuano hiyo huku kila mmoja akijitamba kuonyesha ubabe dhidi ya mwenzake na pia wakitumia mechi hiyo kutambulisha wachezaji wao kwa wapenzi wa Soka wa jiji Arusha.
Mechi hiyo ya ufunguzi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ARUSHA FC YAWATOA JASHO JKT OLJORO NYERERE CUP

TIMU ya Maafande wa JKT Oljoro ya jijini Arusha inayoshiriki ligi daraja la kwanza imeshindwa kuonyesha makali yake mbele ya wadogo zao  timu ya AFC Arusha inayoshiriki ligi daraja la pili baada ya kutoka suluhu ya bao 1-1 katika ufunguzi wa michuano ya Nyerere Cup 2015.
Mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, uliwashuhudia maafande hao wa Oljoro wakianza kucheka na nyavu za AFC baada ya kujipatitia bao lake kupitia kwa mchezaji Swalehe Idd alilofunga kwa njia ya Penalti...

 

10 years ago

Vijimambo

LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) itaanza Sept 12 badala ya Agosti 22 ili kumpa Charles Mkwasa fursa ya kuendelea na program yake kuelekea mechi ya Taifa Stars vs Nigeria itakayochezwa Sept 5. 

Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15. 
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania kuanza Septemba

Ligi kuu ya Tanzania itaanza kutimua vumbi hapo Septemba 12, katika viwanja tofauti na kufikia tamati Mei saba mwaka 2016.

 

10 years ago

Michuzi

KIIZA MCHEZAJI BORA WA LIGI YA VODACOM SEPTEMBA

Mshambuliaji wa timu ya Simba, Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.Kwa kuibuka mchezaji bora, Kiiza atazawadiwa sh. milioni moja kutoka kwa mdhamini wa Ligi hiyo, kampuni ya Vodacom.Kiiza ambaye ameisadia Simba kufanya vizuri kwenye mwezi huo, ikiwemo kufunga mabao matatu (hat trick) kwenye mechi dhidi ya Kagera Sugar aliwashinda washambuliaji wa timu za Stand United (Elias Maguli) na Yanga (Amisi Tambwe).Ndani ya mwezi Septemba ambapo zilichezwa raundi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya mabingwa sare zatawala ufunguzi

Mechi mbili za kwanza katika hatua ya kumi na sita bora ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya zimemalizika kwa sare.

 

11 years ago

Michuzi

Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014

Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 itaanza kutimua vumbi Septemba 20 mwaka huu.
Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...

 

11 years ago

GPL

MECHI ZA LEO LIGI KUU YA TANZANIA BARA SEPTEMBA 27, 2014

Simba v Polisi Moro - Taifa Mtibwa v Ndanda - Manungu Azam v Ruvu - Chamanzi Mbeya v Coastal - Sokoine Mgambo v Stand - Mkwakwani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani