LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12
![](http://2.bp.blogspot.com/-gvVd9B6AxpA/Va4yYvY6j8I/AAAAAAABDRo/G_eGLyLfmKs/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) itaanza Sept 12 badala ya Agosti 22 ili kumpa Charles Mkwasa fursa ya kuendelea na program yake kuelekea mechi ya Taifa Stars vs Nigeria itakayochezwa Sept 5.
Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s72-c/images.jpg)
Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s1600/images.jpg)
Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ligi kuu Tanzania kuanza Septemba
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s72-c/kiiza.png)
Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s640/kiiza.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
9 years ago
Michuzi20 Oct
KIIZA MCHEZAJI BORA WA LIGI YA VODACOM SEPTEMBA
![](http://tff.or.tz/images/kiiza.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jxmvA08zmRoKxgOngCEAROpzfCxi6mnq8EAMB56BefuT9Lc4WfXmK2wyqABh4Cy7YmWi1otzrloiXMJCOrIrfyhRUGwYvxCp/LIGIKUU.jpg)
MECHI ZA LEO LIGI KUU YA TANZANIA BARA SEPTEMBA 27, 2014
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Ligi Kuu Vodacom yahamia kiganjani
WAKATI Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ikiwa imefikia patamu katika duru la pili, ikishuhudiwa nyasi za viwanja mbalimbali nchini zikiendelea kuumia huku kiu ya wapenzi wengi wa soka wakitaka kujua...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s1600/tff_LOGO1.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...
11 years ago
Michuzi03 Feb
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM HADI SASA
Pos. Logo Club P W D L GF GA GD Pts 1
![Azam FC Azam FC](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/hMzEF03L78t0hkcr5lUCyqkBkwebyf0CKLFiGFqBnpyoJ2jn4PqRo9NBXUTg_0I24zczjH25Fmt04jvr6kvC_RNLx5PYdhiPFcIod1qUA1q35sc_ijxUErPZM3vJ-LPRC25LIIRhFZQp=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Azam_FC_0.gif)
![Young Africans FC Young Africans FC](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VUb-LgUmasDe6yZZScqPMlwYm50Lk2vPvkXHG4ed7TAQ0KosnD7B0ZPVTPdkXEsBcWNTF2F0bKIAn566imtax2b7VRX81228TWKLXsyoYEBdwrtuGFSSvG1yrVLSEJTaT4VE9I_pzTSfTnpkZFGmbIb9FQ=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Young_Africans_FC_0.gif)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/N0gqq2rF3-KeI8JVzpDQvKSNZEmr6cLAMD1aVP_x2of5ogwEUj_AhCS2LULo8bJBlsiJNiGJN0R295cvpH5sr6vEwsqdjM3IKbHjVG6sMZNQ-MWwZSRJHAucauWjuE66rO5qi2WD4ixz26Xx=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/mbeya%20city.jpg)
![Simba SC Simba SC](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/S9haLbdE83Ei65a20TTiYk31mzm8oQzXvG3LRddMjARIxFcc0gQLxbjZusYIeDaVjbniVpUdzB0tCo1WpyY1g3aPZ_SBBV_42kk3h414eVHMlOgFVFA-vR5U93SLL9Q-imVKBAUQ0TsFoA=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Simba_SC_0.gif)
![Kagera Sugar FC Kagera Sugar FC](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/0NBXfzP_0_KP42W09cbCci0GG6aWO1--ze3TEEQ19dj6NvlcK3IhFrBM9XDcnZsxucZ7DLMxs9npDCON9RWIxjBB_KC6_WW1UUn3Hmfr87mrqBQWn8XUd7WXYkKrCA2t-qjfEPapBFakdRL-ELw=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Kagera_Sugar_0.gif)
![Mtibwa Sugar FC Mtibwa Sugar FC](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/QplKWKl1eRlaA_9hDsDuxj8cd2rovCZVJYblFRR-4bCbwIRVG14nUG0zvznU5VQtp0tfK98eNIDFvFt6YsMphlnl6P3AkQjrqsRPfqF8oiySMeGniOa4af7DJtvPQ-n3Rbs3Q4XNlIdHKS8crN4=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Mtibwa_Sugar_0.gif)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EtyEaE-fMSP3DqaIEluluw6lk5YByR92QJoAQsOYeTBLABCCyE1ou0u8DzxtnXyIWenKIaoAW8t6QB9xuE2IYlnAfYcUY4sWogWef8TfztpatCqvrm18o5Gp6l9kTiQ4r7JoIVLw3KcEUK4ReA=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Picture%204_0.png)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/w31qrnZQFPKLglPF-lgjAsaUDA7e6ITHu7RJydiT8mlanGS2indcjm8k3uLsHy-6A6ZhdMnKTp-lBYxeIwzMpoK8_pss-_xBFSA-6ARAJRGNqMkJRXXv8W64su-zEUY05Hgm9qCZuP-xbg=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/shooting_0.jpg)
![JKT Ruvu Stars JKT Ruvu Stars](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Uy1nqn2EZTbG7NspK_iAp6t6yaBPoQTMCqnFCK1sxY38Dc2j0f5RYb_CrE_ZrOufAgkcJZMg4iWfozorGjnXpIL1oC2DS55wlTjcxyMmR7Uog80id0Rc5zSSF_jNq990KUdn8JmuNuhFX_hhnR-Hvw=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/JKT_Ruvu_Stars_2.gif)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ZkTsAQtfNvD9HUACiUaG0lde2JybSi217AFG2G1aRsBIyoLzmpVpuFOgbzLmpoWZdX3PXqgqxqKO-Hr1rICCpqycNBS-Ewv6ulSpnytUSX5rQSk_v_xDhZGhxQE6gIpJQaLbarY=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/JKT_0.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/nR1l1-itQuzv3qMuCTyOrD-Gqx-6jJWYkFoETM99ArYqeEHqrSVNYgVagWrhcF6n7pB5Q5646qUhndSlhsJ6CH7EeshkDqaG7uMhfGk_k5SakwDBH203FQgCOFhDPPfqtV8esjQf=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/oljoro.jpg)