Sare tu Ligi Kuu bara
Simba imeshindwa kujinasua kwenye nafasi za chini kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kutoka sare tasa ya 0-0 dhidi ya Coastal Union katika siku iliyotawaliwa na sare lukuki kwenye viwanja vingi nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
10 years ago
Habarileo13 Aug
Ligi Kuu Bara bil 6.6/-
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), jana lilisaini mkataba mpya na Kampuni ya simu ya Vodacom wa kudhamini Ligi Kuu Tanzania Bara wenye thamani ya Sh bilioni 6.6 kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Mambo magumu Ligi Kuu Bara
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MAMBO magumu! Hiyo ndiyo hali halisi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu, baada ya kutokea mchuano mkali miongoni mwa timu shiriki.
Mchuano huo mpaka sasa umeonekana kuzihusu zaidi timu zinazoshika nafasi ya kwanza hadi ya 10 kwenye msimamo wa ligi, huku timu za Simba, Yanga na Azam zikipewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa.
Ligi imefikia raundi ya saba huku baadhi ya timu zikicheza mechi sita lakini pia tofauti ya pointi katika msimamo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJjw3GPHyVIC*ApGRxMIPqGBPvVFg6HZIKwYacdMPf9cHBjst0Yaupl6tk3zcRQSwR-qceH0bF4lDTt-I0aE*j4/azam.jpg?width=650)
Azam bingwa Ligi Kuu Bara
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mavazi ya makocha wa Ligi Kuu ya Bara
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Coastal yakamia Ligi Kuu bara
UONGOZI wa Coastal Union ya Tanga, imeamua kufanya usajili wa nguvu kwa lengo la kupata kikosi bora kitakachofanya vizuri katika Ligi Kuu ya Bara iliyopangwa kuanza Septemba 20, ikishindanisha timu...