Coastal yakamia Ligi Kuu bara
UONGOZI wa Coastal Union ya Tanga, imeamua kufanya usajili wa nguvu kwa lengo la kupata kikosi bora kitakachofanya vizuri katika Ligi Kuu ya Bara iliyopangwa kuanza Septemba 20, ikishindanisha timu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Ligi kuu Tanzania Bara ni Yanga&Coastal
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
9 years ago
Habarileo13 Dec
Coastal Union, JKT Ruvu vitani Ligi Kuu leo
TIMU ya Coastal Union na maafande wa JKT Ruvu leo zitakuwa kwenye viwanja viwili tofauti katika muendelezo wa mechi za Ligi Kuu bara. Coastal Union itamkaribisha ndugu yake African Sports kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga huku JKT Ruvu ikiwa mwenyeji wa maafande wenzao wa Prisons Mbeya.
10 years ago
Habarileo13 Aug
Ligi Kuu Bara bil 6.6/-
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), jana lilisaini mkataba mpya na Kampuni ya simu ya Vodacom wa kudhamini Ligi Kuu Tanzania Bara wenye thamani ya Sh bilioni 6.6 kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Sare tu Ligi Kuu bara
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mavazi ya makocha wa Ligi Kuu ya Bara
9 years ago
Mtanzania04 Sep
SuperSport yaitaka Ligi Kuu Bara
NA SELEMAN SHINENI, MAURITIUS
KAMPUNI ya MultiChoice Africa kupitia channel zake za SuperSport, inatarajia kuonyesha michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya mkataba wa Azam kuonyesha ligi hiyo kufika tamati.
Azam waliingia mkataba wa kuonyesha ligi hiyo mwaka 2014, ambapo mkataba huo unatarajiwa kumalizika katika msimu wa 2017.
Akizungumza na MTANZANIA jana, wakati wa tamasha la 2015 Content Showcase Extravaganza, Mkurugenzi wa SuperSport Kusini mwa Afrika, Graeme...