Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni zatawala mitandao ya kijamii

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikipamba moto majukwaani, matumizi ya mitandao ya kijamii imeshika kasi kwa makundi na watu binafsi kuitumia kuwanadi wagombea wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya 2 Get Noted kujumuisha simu, mitandao ya kijamii na matangazo ya nje

samsung logo

Kwa kawaida matangazo ya nje vya habari huwa na muingiliano wenye kushika hatamu, kuunganisha, matokeo mazuri na ushawishi mkubwa. Hali kadhalika, matangazo ya nje yanapojumuishwa na teknolijia ya kidigitali, mitandao ya kijamii na simu za kiganjani hufanikisha wepesi wa maudhui kufikia wahusika wanapokuwa mbali na makazi yao kwa kuwa njia nyingine sio mbadala kufika huko.  Samsung Electronics Tanzania ikishirikiana na Continental Outdoor Media Ltd wameanzisha kampeni madhubuti inayohusisha...

 

9 years ago

Mtanzania

Kampeni za Fella burudani zatawala

felaWAKALI wa muziki wa Bongo Fleva, juzi walifunga kampeni za mgombea udiwani wa Kata ya Kilungule, Mbagala, jijini Dar es Salaam, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Said Fella kwa kupagawisha wakazi wa eneo hilo kwa onyesho la aina yake.

Shamra shamra za wakazi wa eneo hilo zilianza baada ya kusikika uwepo wa wasanii maarufu na wenye majina
makubwa nchini akiwemo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, Nurdin Bilal ‘Shetah’, Hamis Mwinjuma ‘Fa’, kundi la Yamoto na wengine wengi.

Baadhi ya wasanii...

 

10 years ago

Habarileo

Mitandao ya kijamii wapewa somo

Innocent MungyWATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo wa kompyuta utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili kukabiliana na vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na maadili ya uandishi wa habari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gumzo kwenye mitandao ya kijamii

Kwani mtindo wa nywele au ushungi wa mtu unasema chochote kuhusu tabia au mwenendo wa mtu huyo?

 

9 years ago

Mwananchi

Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga amesema mitandao ya kijamii kama vile Whatsapp, Facebook na Instagram imesaidia kupunguza ajali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

OMIS yaanzisha tuzo za mitandao ya kijamii

KAMPUNI ya ‘Opt Media Information Solutions (OMIS),’ kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeanzisha tuzo za mitandao ya kijamii inayofanya vizuri nchini. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Mkuu wa kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani