SHILOLE, NINA SHAKA NA UANAMKE WAKO!
NIrahisi zaidi kumpata kama utatumia jina la Shilole, kwa sababu mashabiki wake wengi kila kona wanamtambua kwa jina hilo la kisanii, ingawa alipozaliwa, wazazi wake walimpa jina la Zuwena Mohamed. Nitakuwa sijakosea nikimuita Shilole kama mjasiriamali, kwa sababu ni mwanamke mtafutaji, siyo kama wale akina dada wanaouza sura mijini, kipato chao kikubwa wakitarajia kutoka kwa wanaume. Huyu mdada ni shoka, anajichanganya kila...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Dk Slaa: nina shaka na Uchaguzi Mkuu
9 years ago
Bongo505 Jan
Una mpango wa kuchora tattoo ya mpenzi wako? Shilole ana ushauri kuhusu hilo
Shilole a.k.a Shishi baby ametoa ushauri kwa watu kutochora tattoo za wapenzi wao, ili isije kuwapa shida pale watakapoachana kama ilivyomtokea yeye na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
Shishi ametoa ushauri huo baada ya kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
“Sina tattoo tena nimeamua tu kuifuta,tutapendana tu kama ni mapenzi tutapeana ya rohoni,mambo ya kuchorana tattoo nimeshaacha,nishaona hakuna sababu ya kuchora unaweza kuchora tattoo ukazuia mambo yako mengi yanayopita.”...
10 years ago
GPLCAITLYN JENNER: UANAMKE UMENIACHISHA BIA
11 years ago
GPLUMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?
11 years ago
GPLUMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)