Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DP watilia shaka ajali ya Mtikila

CHAMA cha Democtratic Party (DP) kimesema kimesikitishwa na mazingira yaliyosababisha kifo cha Mwenyekiti wa chama hicho, Mchungaji Chrisopher Mtikila. Taarifa ya chama hicho iliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Naibu Katibu Mkuu wa DP upande wa Tanganyika, Abdul Mluya ilidai kuwa kifo cha kiongozi huyo kinaonesha mazingira ya utata.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanasiasa watilia shaka uandikishaji daftari la wapigakura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza muda rasmi wa kuanza kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la wapigakura, ambapo imesema kazi hiyo itakayofanyika kwa muda wa wiki mbili, itaanza mwezi Septemba mwaka huu.

 

9 years ago

Mtanzania

DP yatilia shaka kifo cha Mtikila

chrNA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa Chama Cha Demokratic (DP), umesema una shaka na mazingira ya ajali iliyosababisha kifo cha mweyekiti wa chama hicho, Mchungaji Christopher Mtikila.

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Mikocheni Dar es Salaam jana, Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya alisema kuna mambo yanashitusha namna tukio zima lilivyotokea.

Alisema kuna picha zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii, zikionesha jinsi Mtikila alivyopata ajali.

“Tukio hili...

 

9 years ago

GPL

DP: MTIKILA ALIAWA KABLA YA AJALI

Marehemu Mch. Christopher Mtikila Na Waandishi Wetu MAPYAA! Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrati (DP), Abdul Juma Mluya ameibuka na kusema mazingira ya kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Mchungaji Christopher Mtikila yamejaa utata huku akiweka wazi kwamba, inavyoonekana aliuawa kabla ya ajali yenyewe. Mtikila alifariki dunia katika ajali ya gari aina ya Toyota Corolla namba… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji Mtikila afariki kwa ajali ya gari Chalinze

Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia leo alfajiri kwa ajali ya gari katika Kijiji cha Msolwa, Chalinze, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jaffar Mohamed amethibitisha.

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: Mchungaji Mtikila afariki katika ajali alfajiri leo


Mwanasiasa maarufu nchini Tanzania mwenyekiti wa chama cha DP Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia Majira ya saa 10 alfajiri akitokea mkoani kwake Njombe katika kampeni .
 Taarifa zilizothibitishwa na mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini na mwenyekiti wa DP Mkoa Robart Kisinini wakati akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.co.tz amesema ni kweli mwenyekiti wake huyo Taifa amefariki dunia Kamanda wa polisi mkoa wa pwani pia amethibitisha.

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI

Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa Chama Cha DP Mch Christopher Mtikila amefariki dunia kwa ajali ya gari kijiji iliyotokea cha Msolwa, Chalinze mkoani Pwani asubuhi ya leo na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali.
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV

 

11 years ago

Mwananchi

Wambura shaka tupu

Jinamizi la kuipeleka Simba mahakamani limeendelea kumtesa Michael Wambura kuwania urais ndani ya klabu hiyo, na sasa atakutana uso kwa uso na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

11 years ago

Mwananchi

Usajili Simba shaka

Kundi maarufu la Friends Of Simba wamesimamisha zoezi la usajili la wachezaji wa klabu hiyo wakidaiwa kupima kwanza upepo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani