Wanasiasa watilia shaka uandikishaji daftari la wapigakura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza muda rasmi wa kuanza kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la wapigakura, ambapo imesema kazi hiyo itakayofanyika kwa muda wa wiki mbili, itaanza mwezi Septemba mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Feb
NEC, wanasiasa kujadili daftari la wapigakura
WAKATI Uandikishaji katika daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo inakutana na Vyama vya siasa kujadili mchakato huo.
9 years ago
Habarileo07 Oct
DP watilia shaka ajali ya Mtikila
CHAMA cha Democtratic Party (DP) kimesema kimesikitishwa na mazingira yaliyosababisha kifo cha Mwenyekiti wa chama hicho, Mchungaji Chrisopher Mtikila. Taarifa ya chama hicho iliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Naibu Katibu Mkuu wa DP upande wa Tanganyika, Abdul Mluya ilidai kuwa kifo cha kiongozi huyo kinaonesha mazingira ya utata.
9 years ago
GPL25 Sep
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Uandikishaji wapigakura shakani kufanyika
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Zoezi la Uandikishaji wapigakura, Dsm.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar
10 years ago
Habarileo12 May
Kura za maoni zapisha uandikishaji wapigakura
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema kwa sasa suala la kura ya maoni limesitishwa kwa muda hadi pale tume hiyo itakapokamilisha uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa