Uandikishaji wapigakura shakani kufanyika
 Zikiwa zimesalia siku 11 kabla ya kuanza kwa uboreshaji wa Daftari la Wapigakura, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema bado inasubiri kuwasili kwa vifaa vya teknolojia itakayotumika kwenye mchakato huo, huku taasisi za wanaharakati wa Zanzibar zikisema Kura ya Maoni ni batili kutokana na kukiuka sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Zoezi la Uandikishaji wapigakura, Dsm.
10 years ago
Habarileo12 May
Kura za maoni zapisha uandikishaji wapigakura
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema kwa sasa suala la kura ya maoni limesitishwa kwa muda hadi pale tume hiyo itakapokamilisha uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Wanasiasa watilia shaka uandikishaji daftari la wapigakura
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Katiba mpya shakani
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likitarajia kuanza vikao vyake keshokutwa mjini Dodoma, upatikanaji wa katiba mpya upo shakani, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa. Wasiwasi wa upatikanaji wa katiba mpya unatokana na...
10 years ago
Mtanzania22 May
Kibarua cha Nooij shakani
ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Mart Nooij raia wa Uholanzi, yupo shakani kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya aliyopata kwenye michuano ya Kombe la Cosafa.
Stars imeambulia vipigo kwenye mechi mbili za awali za Kundi B la michuano hiyo na timu ndogo Swaziland (1-0) na Madagascar (2-0), leo itamalizia ratiba kwa kuchuana na Lesotho iliyoko juu yake.
Habari za ndani zilizoifikia MTANZANIA jana zimeeleza kuwa,...
11 years ago
Mwananchi23 May
Suarez shakani Kombe la Dunia
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Sendeka: Katiba mpya shakani
MJUMBE wa Bunge Malalumu la Katiba, Christopher ole Sendeka, ameonyesha wasiwasi wake wa kutopatikana kwa Katiba mpya kutokana na sheria ya Mabadiliko ya Katiba Ibara ya 26(2) kukosa mbadala. Mjumbe...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Ndoa ya Obama, Michelle shakani