Kibarua cha Nooij shakani
ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Mart Nooij raia wa Uholanzi, yupo shakani kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya aliyopata kwenye michuano ya Kombe la Cosafa.
Stars imeambulia vipigo kwenye mechi mbili za awali za Kundi B la michuano hiyo na timu ndogo Swaziland (1-0) na Madagascar (2-0), leo itamalizia ratiba kwa kuchuana na Lesotho iliyoko juu yake.
Habari za ndani zilizoifikia MTANZANIA jana zimeeleza kuwa,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Kikosi cha kwanza Simba shakani
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Julio ashika kibarua cha Kerr
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Kibarua cha mama kumpa mwanawe 'Bangi'
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Kibarua cha Makata, Kagera kwisha kazi
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Kibarua cha kuboresha elimu kwa Serikali ya Dk Magufuli
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Profesa Ndalichako ana kibarua cha kuiokoa elimu nchini
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Kibarua kizito cha kukuza uchumi kwa Rais ajaye
9 years ago
Michuzi23 Oct
TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili.
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oocZi0vtCoo/VFeKZww1y5I/AAAAAAAGvTg/O5_asqRrtbU/s72-c/IMG_7000.jpg)
KOCHA NOOIJ KUTAJA KIKOSI CHA STARS NOVEMBA 4
![](http://2.bp.blogspot.com/-oocZi0vtCoo/VFeKZww1y5I/AAAAAAAGvTg/O5_asqRrtbU/s1600/IMG_7000.jpg)
Nooij atatangaza kikosi hicho mbele ya waandishi wa habari katika mkutano utakaofanyika saa 4.30 asubuhi kwenye ofisi za TFF zilizoko ghorofa ya tatu, Jengo la PPF Tower jijini Dar es Salaam.
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itacheza na...