TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE
TIMU ya taifa ya mpira wa magongo ya wanawake kesho inacheza mechi yake ya kwanza ya ufunguzi dhidi ya zimbambwe itakayopigwa nchini Afrika kusini,katika mashindano kuwania kufuzu michuano ya Olympic ya mwaka 2016 ambayo itafanyika mjini Rio de Janeiro, nchini Brazil.
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili.
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5mEW6opELEA/Vl2ihhDW-WI/AAAAAAAIJh8/qxUxdMD0rBc/s72-c/starskartepe.png)
KIKOSI CHA TIMU YA KILIMANJARO STARS KUREJE KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-5mEW6opELEA/Vl2ihhDW-WI/AAAAAAAIJh8/qxUxdMD0rBc/s640/starskartepe.png)
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinatarajiwa kuwasili kesho mchana jijini Dar ess alaam kikitokea nchini Ethiopia kilipokuwa kinashiriki michuano ya Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati.
Kilimanjaro Stars imetolewa katika hatua ya robo fainali na wenyeji Ethiopia kwa mikwaju ya penati, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za mchezo huo, na wenyeji kushinda kwa penati 4-3.
Timu ya Kilimanjaro Stars inayonolewa na kocha Abdallah...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Kiunzi cha kwanza urais CCM kesho
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV. KIGAMBONI KUANZA KAZI KESHO KUTWA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya wanawake ya Mchezo wa Mpira wa Magongo yakabidhiwa bendera kabla ya kuelekea Afrika ya kusini baada ya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dTTJKrNGn8/VhxNRja4vrI/AAAAAAAH_mg/YG0zMhPPt3s/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/FTftu-Qu1KU/default.jpg)
Kipindi kipya cha Niambie Live kuanza kurushwa kesho
Kitawajia punde
USIKOSE kukifuatilia
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8Pcwf5OgxU/U288bmIru8I/AAAAAAAAYFM/EbLLH3fGX4Y/s72-c/TMT+TVP.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mkwasa, Juma Pondamali kuanza kibarua Yanga leo
BAADA ya jana Yanga kushindwa kufanya mazoezi kutokana na kukosa makocha wa kuwafundisha wachezaji, leo kikosi hicho kinatarajia kuanza rasmi mazoezi chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YbhJbhMCIhU/VFdeAKUdedI/AAAAAAAGvQc/2y7eDulYr-Y/s72-c/unnamedI1.jpg)
Usajili wa wanaridha Uhuru marathon Tanzania kuanza rasmi kesho
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa Kamati ya mbio hizo, Innocent Melleck alisema, mara baada ya Dar es Salaam fomu za usajili zinatarajiwa kutolewa Dodoma kuanzia wiki ijayo.
“Tunapenda kutangaza rasmi kwamba usajili kwa ajili ya mbio hizo umeanza rasmi katika Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo...