Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE

TIMU ya taifa ya mpira wa magongo ya wanawake kesho inacheza mechi yake ya kwanza ya ufunguzi dhidi ya zimbambwe itakayopigwa nchini Afrika kusini,katika mashindano kuwania kufuzu michuano ya Olympic ya mwaka 2016 ambayo itafanyika mjini Rio de Janeiro, nchini Brazil.
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo  Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili. 
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho

Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma kesho anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Yanga kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

 

9 years ago

Michuzi

KIKOSI CHA TIMU YA KILIMANJARO STARS KUREJE KESHO


KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinatarajiwa kuwasili kesho mchana jijini Dar ess alaam kikitokea nchini Ethiopia kilipokuwa kinashiriki michuano ya Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati.

Kilimanjaro Stars imetolewa katika hatua ya robo fainali na wenyeji Ethiopia kwa mikwaju ya penati, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za mchezo huo, na wenyeji kushinda kwa penati 4-3.

Timu ya Kilimanjaro Stars inayonolewa na kocha Abdallah...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiunzi cha kwanza urais CCM kesho

Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM itakutana kesho mjini Dodoma kuanza shughuli yake ya kupitia taarifa za wagombea 38 wanaoomba kuwania urais na kisha kuwasilisha ushauri wake kwenye kikao cha Kamati Kuu inayokutana keshokutwa.

 

10 years ago

Michuzi

KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI KUANZA KAZI KESHO KUTWA

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Watendaji mbalimbali hawapo pichani kutoka, Wizara ya Ujenzi, TEMESA na Kikosi cha Maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambao wamefanya kazi kubwa ya ukarabati wa Kivuko cha MV Kigamboni. Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipanda ngazi kwenda kukagua Kivuko cha MV Kigamboni ambacho matengenezo yake makubwa yanakamilika leo. Luteni Kanali Gwanafi kulia akimuongoza Waziri wa Ujenzi ...

 

9 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya wanawake ya Mchezo wa Mpira wa Magongo yakabidhiwa bendera kabla ya kuelekea Afrika ya kusini baada ya

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Michezo, Wizara ya Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda akimkabidhi bendera Nahodha wa Timu ya Taifa ya wanawake ya  Mchezo wa Mpira wa Magongo  Bi Kidawa Abdallah katika hafla ya kuwaaga  wachezaji hao wanaoelekea nchini Afrika Kusini kwenye mashindano ya  mchezo huo yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Wa kwanza kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha kutoka Benki ya NMB Bw. Waziri BarnabasAfisa Mkuu wa Fedha kutoka Benki ya NMB Bw....

 

10 years ago

Vijimambo

Kipindi kipya cha Niambie Live kuanza kurushwa kesho

Hiki ni kipindi kitakachozungumzia baadhi ya mambo ambayo yametawala kwenye mitandao ya kijamii.
Kitawajia punde
USIKOSE kukifuatilia

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkwasa, Juma Pondamali kuanza kibarua Yanga leo

BAADA ya jana Yanga kushindwa kufanya mazoezi kutokana na kukosa makocha wa kuwafundisha wachezaji, leo kikosi hicho kinatarajia kuanza rasmi mazoezi chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali...

 

10 years ago

Michuzi

Usajili wa wanaridha Uhuru marathon Tanzania kuanza rasmi kesho

USAJILI kwa watu wanaotaka kushiriki mbio ndefu za Uhuru, maarufu kama Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Desemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam umeanza rasmi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa Kamati ya mbio hizo, Innocent Melleck alisema, mara baada ya Dar es Salaam fomu za usajili zinatarajiwa kutolewa Dodoma kuanzia wiki ijayo.
“Tunapenda kutangaza rasmi kwamba usajili kwa ajili ya mbio hizo umeanza rasmi katika Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani