Kiunzi cha kwanza urais CCM kesho
Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM itakutana kesho mjini Dodoma kuanza shughuli yake ya kupitia taarifa za wagombea 38 wanaoomba kuwania urais na kisha kuwasilisha ushauri wake kwenye kikao cha Kamati Kuu inayokutana keshokutwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Balozi Amina Salum Ali alivyovuka kiunzi cha Kamati Kuu
Mwanadiplomasia Amina Salum Ali alitangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mei 21 jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CHWTazc92yM/VW7PmNCElwI/AAAAAAAHbkA/Vs14UYrUwyI/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi23 Oct
TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE
TIMU ya taifa ya mpira wa magongo ya wanawake kesho inacheza mechi yake ya kwanza ya ufunguzi dhidi ya zimbambwe itakayopigwa nchini Afrika kusini,katika mashindano kuwania kufuzu michuano ya Olympic ya mwaka 2016 ambayo itafanyika mjini Rio de Janeiro, nchini Brazil.
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili.
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili.
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Masele avuka kiunzi cha kuvuliwa uongozi
Bunge limefuta pendekezo la Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) lililotaka Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele kuwajibika kuhusiana na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Balozi Amina Salum Ali alivyovuka kiunzi cha Kamati Kuu
Mwanadiplomasia Amina Salum Ali alitangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mei 21 jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qoeOzzM8-yU/Vc2NzCb90pI/AAAAAAAAzWI/IHXcUl_bo98/s72-c/benard%2Bmembe.jpg)
Benard Membe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuanguka Mbio za Urais- CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-qoeOzzM8-yU/Vc2NzCb90pI/AAAAAAAAzWI/IHXcUl_bo98/s640/benard%2Bmembe.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kilichotokea mjini Dodoma na kusababisha ashindwe katika uteuzi wa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Membe amekuwa kada wa tatu kueleza hadharani jinsi uteuzi huo ulivyoendeshwa ambao Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, aliibuka kidedea kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa.Makada wengine waliojitokeza hadharani kuelezea mchakato huo ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s72-c/_MG_1875.jpg)
MGOMBEA MTEULE WA URAIS CCM,DKT MAGUFULI KUCHUKUA FOMU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s640/_MG_1875.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXZ9NythroE/Vb-Kppd0qAI/AAAAAAAC9PE/DwS9_JkTSg4/s640/_MG_1834.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMpKyx5W694/Vb-Kp11op6I/AAAAAAAC9PI/rPF0Jn0n5cE/s640/_MG_1854.jpg)
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
MGOMBEA...
10 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UDmxukEvEVw/Vbeyiamh_2I/AAAAAAABS3c/g5AdB_PUqjw/s72-c/PRv.png)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania