KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI KUANZA KAZI KESHO KUTWA
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Watendaji mbalimbali hawapo pichani kutoka, Wizara ya Ujenzi, TEMESA na Kikosi cha Maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambao wamefanya kazi kubwa ya ukarabati wa Kivuko cha MV Kigamboni.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipanda ngazi kwenda kukagua Kivuko cha MV Kigamboni ambacho matengenezo yake makubwa yanakamilika leo.
Luteni Kanali Gwanafi kulia akimuongoza Waziri wa Ujenzi ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
KIVUKO CHA MV KIGAMBONI CHAANZA KUFANYA KAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7vwNewQyL_c/VBIGPCBJd_I/AAAAAAAGjBU/pTJvhZIqu4g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
10 years ago
Habarileo10 Apr
Kivuko Dar kuanza safari zake kesho
KIVUKO cha Dar es Salaam hadi Bagamoyo kinatarajia kuanza safari zake kesho.
10 years ago
GPLUZINDUZI WA KIVUKO CHA MV KIGAMBONI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2OUxe_Nw710/UwslrwEzSAI/AAAAAAAFPOk/zDuva_Dvzn8/s72-c/IMG_3385.jpg)
Anawahi kivuko cha kwenda Kigamboni
![](http://2.bp.blogspot.com/-2OUxe_Nw710/UwslrwEzSAI/AAAAAAAFPOk/zDuva_Dvzn8/s1600/IMG_3385.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZsM3hwxZL3k/UwslxcooSTI/AAAAAAAFPOs/HKsG37Z09QY/s1600/IMG_3386.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Kivuko Dar- Bagamoyo kuanza kazi karibuni
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kivuko kitakachofanya safari zake Dar es Salaam hadi Bagamoyo kinatarajiwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi wiki tatu zijazo. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...
11 years ago
GPLMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU, DARAJA LA KIGAMBONI
10 years ago
Michuzi20 Aug