Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho

Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma kesho anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Yanga kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE

TIMU ya taifa ya mpira wa magongo ya wanawake kesho inacheza mechi yake ya kwanza ya ufunguzi dhidi ya zimbambwe itakayopigwa nchini Afrika kusini,katika mashindano kuwania kufuzu michuano ya Olympic ya mwaka 2016 ambayo itafanyika mjini Rio de Janeiro, nchini Brazil.
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo  Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili. 
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkwasa, Juma Pondamali kuanza kibarua Yanga leo

BAADA ya jana Yanga kushindwa kufanya mazoezi kutokana na kukosa makocha wa kuwafundisha wachezaji, leo kikosi hicho kinatarajia kuanza rasmi mazoezi chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongera Yanga, kibarua kizito chawasubiri Cairo

TIMU ya soka ya Yanga ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, mwishoni mwa wiki walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya mabingwa watetezi wa Ligi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Maisha Plus kuanza kesho

Kipindi vya televisheni cha mashindano la Maisha Plus kitaanza kuonyeshwa kesho katika kituo cha televisheni cha TBC1.

 

10 years ago

BBCSwahili

"Siogopi kibarua kuota nyasi": Kocha wa Yanga

Kuna msemo ” Makocha wana ajiriwa ili wafukuzwe na usemi huo umejidhihirisha katika ligi maarufu barani Ulaya, Afrika na kwingineko.

 

11 years ago

Michuzi

Msondo, Sikinde ngoma nzito TCC Club kesho

Baadhi ya Wanamuziki wa Bendi ya Msondo Ngoma 
 Magwiji wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma Music Band ‘Mambo Hadharani’ na Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma Ya Ukae” kesho mchana watachuana vikali katika viwanja vya TCC Club  Chang’ombe, Temeke.
Mpambano huo wa Nani Mtani Jembe ni kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitri na pia litaamua ni bendi ipi kali kati yao.
Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga amesema pambano hilo litaanza saa nane alasiri hadi majogoo.
Kapinga alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Ligi Arusha Mjini kuanza kesho

LIGI ya soka daraja la nne ngazi ya wilaya ya Arusha inatarajia kuanza kutimua vumbi jijini hapa kesho Julai 15 mwaka huu katika viwanja mbalimbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani