Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maisha Plus kuanza kesho

Kipindi vya televisheni cha mashindano la Maisha Plus kitaanza kuonyeshwa kesho katika kituo cha televisheni cha TBC1.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maisha Plus kuanza kuruka rasmi kesho

VIPINDI vya televisheni vya shindano la Maisha Plus vitaanza kuonyeshwa kesho katika televisheni ya taifa, TBC1. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mashindano hayo, Masoud Ali ‘Kipanya’,...

 

9 years ago

Habarileo

Samia kuanza kampeni Dodoma kesho

MGOMBEA Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, anaanza ziara za mikutano ya kampeni mkoani hapa kesho ambapo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kumsikiliza.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho

Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma kesho anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Yanga kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

 

10 years ago

Habarileo

Ligi Arusha Mjini kuanza kesho

LIGI ya soka daraja la nne ngazi ya wilaya ya Arusha inatarajia kuanza kutimua vumbi jijini hapa kesho Julai 15 mwaka huu katika viwanja mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho

>Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia Biometric Voters Registration (BVR) Dar es Salaam, unaanza rasmi kesho, huku mashine zaidi ya 4,000 zikitarajia kutumika kukamilisha kazi hiyo katika vituo 1,700.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siku 16 kupinga ukatili kuanza kesho

ASILIMIA 92 ya wanawake nchini wametaka mila na utamaduni unaolazimisha mwanamke akeketwe ukomeshwe kwa kuwa ni ukatili wa kijinsia. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mratibu wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Bunge la EAC kuanza kesho Dar

Bunge

Bunge

NA SHABANI MATUTU

BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.

“Ripoti hizo ni Kamati ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya Premia ya Uingereza kuanza Kesho

Hatimaye kiu cha mashabiki wa soka hususan ligi kuu ya Uingereza kitaanza kukatwa wikendi hii

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA UONGOZI KUANZA KESHO DAR

Mmoja wa wasemaji wa kongamano hilo kutoka Afrika Kusini, Gary Rivas (kushoto) Mkurugenzi Mkazi, Mbutho Chibwaye (katikati) na Meneja wa kongamano, Kiongozi Bwesa. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani