Maisha Plus kuanza kesho
Kipindi vya televisheni cha mashindano la Maisha Plus kitaanza kuonyeshwa kesho katika kituo cha televisheni cha TBC1.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Maisha Plus kuanza kuruka rasmi kesho
VIPINDI vya televisheni vya shindano la Maisha Plus vitaanza kuonyeshwa kesho katika televisheni ya taifa, TBC1. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mashindano hayo, Masoud Ali ‘Kipanya’,...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Samia kuanza kampeni Dodoma kesho
MGOMBEA Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, anaanza ziara za mikutano ya kampeni mkoani hapa kesho ambapo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kumsikiliza.
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho
10 years ago
Habarileo14 Aug
Ligi Arusha Mjini kuanza kesho
LIGI ya soka daraja la nne ngazi ya wilaya ya Arusha inatarajia kuanza kutimua vumbi jijini hapa kesho Julai 15 mwaka huu katika viwanja mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Siku 16 kupinga ukatili kuanza kesho
ASILIMIA 92 ya wanawake nchini wametaka mila na utamaduni unaolazimisha mwanamke akeketwe ukomeshwe kwa kuwa ni ukatili wa kijinsia. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mratibu wa...
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Bunge la EAC kuanza kesho Dar
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA SHABANI MATUTU
BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.
“Ripoti hizo ni Kamati ya...
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Ligi ya Premia ya Uingereza kuanza Kesho
10 years ago
GPLKONGAMANO LA UONGOZI KUANZA KESHO DAR