Usajili wa wanaridha Uhuru marathon Tanzania kuanza rasmi kesho
![](http://3.bp.blogspot.com/-YbhJbhMCIhU/VFdeAKUdedI/AAAAAAAGvQc/2y7eDulYr-Y/s72-c/unnamedI1.jpg)
USAJILI kwa watu wanaotaka kushiriki mbio ndefu za Uhuru, maarufu kama Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Desemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam umeanza rasmi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa Kamati ya mbio hizo, Innocent Melleck alisema, mara baada ya Dar es Salaam fomu za usajili zinatarajiwa kutolewa Dodoma kuanzia wiki ijayo.
“Tunapenda kutangaza rasmi kwamba usajili kwa ajili ya mbio hizo umeanza rasmi katika Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y5jKEsfx0Ps/VDPVvH5vynI/AAAAAAAGofE/FxDxgC-MZBE/s72-c/DSCF9474.jpg)
Mbio za Uhuru Marathon zazinduliwa rasmi leo jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-y5jKEsfx0Ps/VDPVvH5vynI/AAAAAAAGofE/FxDxgC-MZBE/s1600/DSCF9474.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Maisha Plus kuanza kuruka rasmi kesho
VIPINDI vya televisheni vya shindano la Maisha Plus vitaanza kuonyeshwa kesho katika televisheni ya taifa, TBC1. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mashindano hayo, Masoud Ali ‘Kipanya’,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p7M8Q82ib70/VWB43HeuacI/AAAAAAAAG1g/9Avj0j_nsgY/s72-c/P5239292.jpg)
UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA RASMI KESHO JUMAPILI MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p7M8Q82ib70/VWB43HeuacI/AAAAAAAAG1g/9Avj0j_nsgY/s640/P5239292.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tGGjB1lrSLs/VWB43HrnzGI/AAAAAAAAG1c/fr6RcMAofF8/s640/P5239299.jpg)
(Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa@Rukwareview.blogspot.com)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s72-c/images.jpg)
WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s640/images.jpg)
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3Y1_zNA0OgY/VXDSLZ0-kKI/AAAAAAAC5mU/JCCTr3Y-x3w/s72-c/7.jpg)
MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WAWASILI WILAYANI KAHAMA USIKU HUU KWA BASI,KESHO KUANZA RASMI ZIARA YA KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3Y1_zNA0OgY/VXDSLZ0-kKI/AAAAAAAC5mU/JCCTr3Y-x3w/s640/7.jpg)
Ndugu Kinana...
9 years ago
MichuziCHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI TANZANIA CHAPATA USAJILI RASMI
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) chapata usajili rasmi
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani Mkala akipokea Cheti cha Usajili wa Chama hicho kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Benjamin Sawe)
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s72-c/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s320/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...
9 years ago
Michuzi23 Oct
TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili.
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...