Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba mpya shakani

WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likitarajia kuanza vikao vyake keshokutwa mjini Dodoma, upatikanaji wa katiba mpya upo shakani, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa. Wasiwasi wa upatikanaji wa katiba mpya unatokana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba Mpya shakani

 Hatua ya baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba kususia vikao vya Bunge hilo imezua hofu kwamba inaweza kukwamisha mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya hasa katika kufanya uamuzi wa kupitisha ibara za Katiba hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sendeka: Katiba mpya shakani

MJUMBE wa Bunge Malalumu la Katiba, Christopher ole Sendeka, ameonyesha wasiwasi wake wa kutopatikana kwa Katiba mpya kutokana na sheria ya Mabadiliko ya Katiba Ibara ya 26(2) kukosa mbadala. Mjumbe...

 

10 years ago

Mtanzania

Kwa hesabu hizi, Katiba Mpya shakani

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA MWANDISHI WETU, DODOMA

RASIMU ya Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba ipo shakani kuweza kupitishwa bungeni, MTANZANIA limebaini.

Kutokana na sheria ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013, ili Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iweze kupitishwa, inahitajika kuungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe wa Bunge Maalumu kutoka kila upande wa Muungano.

Idadi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya

>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Katiba Mpya ilivyoligawa Taifa

>Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingi. Usemi huo umejidhihirisha kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba ambao tayari umeonyesha kuligawa taifa katika makundi matatu; Serikali, taasisi za dini na vyama vya siasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa

Natambua kwamba bado tuna joto la sakata la “escrow” ambalo hata baada ya Mkuu wa Nchi Rais Jakaya Kikwete kulifafanua na hata kama hujui kusoma upepo kiasi gani utakuwa umegundua na utaungana nami kwamba bado wananchi wamegawika kabisa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani