Zoezi la Uandikishaji wapigakura, Dsm.
Zoezi la Uandikishaji kwenye daftari la Kudumu la Wapiga kura nchini Tanzania, bado linasuasua kutokana na kasoro zilizojitokeza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Uandikishaji wapigakura shakani kufanyika
 Zikiwa zimesalia siku 11 kabla ya kuanza kwa uboreshaji wa Daftari la Wapigakura, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema bado inasubiri kuwasili kwa vifaa vya teknolojia itakayotumika kwenye mchakato huo, huku taasisi za wanaharakati wa Zanzibar zikisema Kura ya Maoni ni batili kutokana na kukiuka sheria.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha kwa muda uandikishaji wa wapigakura katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani hadi hapo itakapotangazwa.
10 years ago
Habarileo12 May
Kura za maoni zapisha uandikishaji wapigakura
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema kwa sasa suala la kura ya maoni limesitishwa kwa muda hadi pale tume hiyo itakapokamilisha uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura.
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Wanasiasa watilia shaka uandikishaji daftari la wapigakura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza muda rasmi wa kuanza kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la wapigakura, ambapo imesema kazi hiyo itakayofanyika kwa muda wa wiki mbili, itaanza mwezi Septemba mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Zoezi la Uandikishaji kwa BVR lisitishwe
Serikali ya Tanzania imeanzisha mfumo wa kuwatambua wapigakura kwa alama za vidole, mfumo ambao huhifadhi taarifa zote muhimu za mpigakura hivyo kuondosha uwezekano wa mtu kupiga kura mara mbili.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-teg6-RppsL8/U5wI38kqTvI/AAAAAAAFqg8/zYR00UOkqP8/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Zoezi la Uandikishaji wa Kaya Maskini Mpanda Mjini
![](http://2.bp.blogspot.com/-teg6-RppsL8/U5wI38kqTvI/AAAAAAAFqg8/zYR00UOkqP8/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-L4sR_STqNl4/U5wI3-TIgeI/AAAAAAAFqhA/VV_r0aauHTs/s1600/unnamed+(17).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_RprASZHN6Q/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Feb
Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lapamba moto
![Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendeleajijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karume.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0083.jpg)
![Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0143.jpg)
![Mmoja wa wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy pamoja na mwanae wakijaza fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0147.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0083.jpg)
ZOEZI LA UANDIKISHAJI VIJANA KUINGIA NSSF REAL MADRID SPORTS ACADEMY LAPAMBA MOTO
Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendeleajijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karume. Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume. Mmoja wa wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania