Zoezi la Uandikishaji wa Kaya Maskini Mpanda Mjini
![](http://2.bp.blogspot.com/-teg6-RppsL8/U5wI38kqTvI/AAAAAAAFqg8/zYR00UOkqP8/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Shughuli za uandikishaji wa kaya maskini linaloendeshwa na TASAF chini ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika awamu ya tatu ya TASAF. TASAF ni mfuko ulio chini ya Ofisi ya Rais ambao umepewa jukumu la kupambana na umaskini. Hapa ni katika mtaa wa Tambukareli, kata ya Mpanda Hoteli. Zoezi hili linafanyika piakatika Halmashauri ya wilaya ya Mpanda na Halmashauri ya wilayaya Mlele.
Shughuli za uandikishaji wa kaya maskini linaloendeshwa na TASAF zikiendelea wakati wa Zoezi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YEuyojATuDA/XlZC-OS-_MI/AAAAAAALfgY/NnfekIbzuVA2zZRDDvF3jXAFe7AFAADyACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_131757_609.jpg)
BL 12.4 ZATOLEWA KWA KAYA MASKINI TUNDURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-YEuyojATuDA/XlZC-OS-_MI/AAAAAAALfgY/NnfekIbzuVA2zZRDDvF3jXAFe7AFAADyACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200220_131757_609.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-s1OR2tqUsHA/XlZC_DmiYKI/AAAAAAALfgc/AkfbwB-eAQUzsx3PCIysS3JCvdA8wGMQACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200220_131830_044.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
TASAF yagawa bil 7.1/- kwa kaya maskini
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone (anayeangalia picha) akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na maafisa wa TASAF kutoka makao makuu na wa mkoa wa Singida.
Naibu Katibu mkuu ofisi ya rais Zuzana Mlawi (wa kwanza kushoto) akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa pamoja kati ya Mkuu wa mkoa na viongozi wa TASAF.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 7.1 bilioni kuhawilisha kaya maskini 40,156...
10 years ago
Habarileo08 Jan
Wanasiasa waonywa mpango wa kunusuru kaya maskini
VIONGOZI na wanasiasa wameaswa kutotumia mpango wa kunusuru kaya masikini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuingiza majina ya watu ambao si walengwa.
9 years ago
Habarileo17 Nov
Aonya wavurugaji mpango wa kusaidia kaya maskini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, ameonya watendaji ngazi ya mkoa na mamlaka za serikali za mitaa kuwa watakaodiriki kuwakosesha fedha wananchi waliotimiza vigezo katika mpango wa kunusuru kaya maskini watawajibishwa.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
TASAF yajizatiti kuzijenga kiuchumi kaya maskini
SERIKALI ina sera na mikakati mbalimbali ya kupambana na umaskini. Moja ya sera hizo ni mkakati wa taifa wa kupunguza umaskini. Mkakati huo umeiwezesha serikali kupata mafanikio mengi ikiwa ni...
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Zoezi la Uandikishaji wapigakura, Dsm.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Zoezi la Uandikishaji kwa BVR lisitishwe
10 years ago
MichuziTASAF YAFANYA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU