TASAF yajizatiti kuzijenga kiuchumi kaya maskini
SERIKALI ina sera na mikakati mbalimbali ya kupambana na umaskini. Moja ya sera hizo ni mkakati wa taifa wa kupunguza umaskini. Mkakati huo umeiwezesha serikali kupata mafanikio mengi ikiwa ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
TASAF yagawa bil 7.1/- kwa kaya maskini
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone (anayeangalia picha) akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na maafisa wa TASAF kutoka makao makuu na wa mkoa wa Singida.
Naibu Katibu mkuu ofisi ya rais Zuzana Mlawi (wa kwanza kushoto) akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa pamoja kati ya Mkuu wa mkoa na viongozi wa TASAF.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 7.1 bilioni kuhawilisha kaya maskini 40,156...
10 years ago
MichuziTASAF YAFANYA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xPl0ReMw8ws/VKOBPAviBrI/AAAAAAACxAA/nXtVp228jfs/s72-c/New%2BPicture.png)
WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOTEKELEZWA NA TASAF WACHIMBA MTARO WA MAJI
Maelfu ya wakazi wa shehia ya Mpapa wilaya ya Kusini Unguja wanatarajiwa kunufaika na huduma ya maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi wa maji unaotekelezwa na walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa utaratibu wa ajira ya muda PWP.
Wakizungumza katika eneo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jxIeoL6fQOY/VKFikpTsRoI/AAAAAAAG6bQ/YwIkYHvyGfk/s72-c/New%2BPicture.png)
MPANGO WA AJIRA ZA MUDA KWA WALENGWA WA KAYA MASKINI CHINI YA TASAF WASHIKA KASI KISIWANI ZANZIBAR.
10 years ago
MichuziTASAF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI WA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI KATIKA WILAYA YA MUFINDI MKOANI IRINGA.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF unaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wawezeshaji wa utambuzi wa kaya maskini katika halmashauri kadhaa nchini. Zoezi hilo ni mwendelezo wa jitihada za TASAF za kunusuru kaya maskini nchini zoezi lililoanza mwaka uliopita kwa awamu katika maeneo mbalimbali nchini.
Miongoni mwa halmashauri ambako mafunzo hayo yanafanyika ni wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa ambako wawezeshaji hao watashiriki katika kuwapa mafunzo wadodosaji watakaofanya kazi ya tathmini...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
UFUNGUZI WA WARSHA YA KUJENGA UELEWA WA WADAU KUHUSU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI — TASAF AWAMU YA TATU MKOANI KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mzdqVN2ywXo/U0RaIihFpoI/AAAAAAACeUw/PP79uIsd4yI/s1600/New+Picture+(2).png)
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe akihutubia washiriki wa Warsha ya kujenga uelewa wa wadau kuhusu mpango wa kunusuru Kaya maskini – TASAF awamu ya tatu Mkoani Katavi .
![](http://3.bp.blogspot.com/-QdbNOGaS4ik/U0Ralibx5DI/AAAAAAACeVQ/AgUHlrQQ-zw/s1600/New+Picture+(5).png)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E5mIDvAp8KU/VF0lEACUUjI/AAAAAAACuZg/8WXCJ3X0Puk/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
TASAF YAENDESHA WARSHA YA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI NGAZI YA TAIFA KUHUSU TUKIO LA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI UKUMBI WA TEC DSM
![](http://4.bp.blogspot.com/-E5mIDvAp8KU/VF0lEACUUjI/AAAAAAACuZg/8WXCJ3X0Puk/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO