TASAF YAENDESHA WARSHA YA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI NGAZI YA TAIFA KUHUSU TUKIO LA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI UKUMBI WA TEC DSM
![](http://4.bp.blogspot.com/-E5mIDvAp8KU/VF0lEACUUjI/AAAAAAACuZg/8WXCJ3X0Puk/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga (katikati walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo kwa wawezeshaji ngazi ya taifa kuhusu tukio la utambuzi wa kaya maskini linalotarajiwa kuanza Novemba 10 katika halmashauri 16. Wengine (walioketi) ni Mkurugenzi wa fedha wa TASAF Bw. Isaya Wambura (wa pili kushoto), meneja masijala ya walengwa Philipine Mmari (wa kwanza kushoto), Mtaalamu wa Mafunzo Mercy Mandawa (wa pili kulia) na Meneja Rasilimali watu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTASAF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI WA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI KATIKA WILAYA YA MUFINDI MKOANI IRINGA.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF unaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wawezeshaji wa utambuzi wa kaya maskini katika halmashauri kadhaa nchini. Zoezi hilo ni mwendelezo wa jitihada za TASAF za kunusuru kaya maskini nchini zoezi lililoanza mwaka uliopita kwa awamu katika maeneo mbalimbali nchini.
Miongoni mwa halmashauri ambako mafunzo hayo yanafanyika ni wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa ambako wawezeshaji hao watashiriki katika kuwapa mafunzo wadodosaji watakaofanya kazi ya tathmini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8w9FUC6A5TY/VC5bIgcnsVI/AAAAAAACsC0/vGTFOyDUGbY/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
TASAF yaendesha warsha kwa wawezeshaji wa kitaifa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-8w9FUC6A5TY/VC5bIgcnsVI/AAAAAAACsC0/vGTFOyDUGbY/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
Baadhi ya washiriki wa warsha ya kujengewa uelewa wa mpango wa kunusureu kaya maskini unaoratibiwa na TASAF wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa TASAF kwenye ukumbi wa TEC mjini DSM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tu5x3Ec2apg/VC5bJr09ODI/AAAAAAACsC8/35PzXsngJhQ/s1600/New%2BPicture.png)
Mkurugenzi wa Uratibu wa TASAF,Bw. Alphonce Kyariga (aliyesimama) akifungua warsha ya kuwajengea uelewa kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga maafisa ufuatiliaji TA wa mamlaka za utekelezaji PAAs kwa pya kwenye ukumbi wa TEC mjini DSM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-J1_xjgOkzKM/VC5bvvBZ9UI/AAAAAAACsDM/XEZ4ssfVSdg/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TzYz4yfm6oM/VC5buL6jpYI/AAAAAAACsDE/aI3SleKt_Ec/s1600/New%2BPicture%2B(3).png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
UFUNGUZI WA WARSHA YA KUJENGA UELEWA WA WADAU KUHUSU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI — TASAF AWAMU YA TATU MKOANI KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mzdqVN2ywXo/U0RaIihFpoI/AAAAAAACeUw/PP79uIsd4yI/s1600/New+Picture+(2).png)
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe akihutubia washiriki wa Warsha ya kujenga uelewa wa wadau kuhusu mpango wa kunusuru Kaya maskini – TASAF awamu ya tatu Mkoani Katavi .
![](http://3.bp.blogspot.com/-QdbNOGaS4ik/U0Ralibx5DI/AAAAAAACeVQ/AgUHlrQQ-zw/s1600/New+Picture+(5).png)
10 years ago
MichuziTASAF YAFANYA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Qhf4yxOHhA/VCI_XtC3i6I/AAAAAAACrh0/ax0Mkz1a2cc/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
TASAF yagawa bil 7.1/- kwa kaya maskini
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone (anayeangalia picha) akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na maafisa wa TASAF kutoka makao makuu na wa mkoa wa Singida.
Naibu Katibu mkuu ofisi ya rais Zuzana Mlawi (wa kwanza kushoto) akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa pamoja kati ya Mkuu wa mkoa na viongozi wa TASAF.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 7.1 bilioni kuhawilisha kaya maskini 40,156...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i1Ei55gcl0c/U5hzBLL7YaI/AAAAAAACjOg/Ugy-SY1Ufho/s72-c/New+Picture+(1).png)
TASAF yaendesha Warsha elekezi kwa watekelezaji wa PSSN.
Mwamanga ametoa kauli hiyo mkoani Mtwara wakati akifungua warsha elekezi ya siku mbili kwa maafisa ushauri, ufuatiliaji, wahasibu na waratibu wa mikoa na wilaya ikiwa na lengo la kutathimini utekelezaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jxIeoL6fQOY/VKFikpTsRoI/AAAAAAAG6bQ/YwIkYHvyGfk/s72-c/New%2BPicture.png)
MPANGO WA AJIRA ZA MUDA KWA WALENGWA WA KAYA MASKINI CHINI YA TASAF WASHIKA KASI KISIWANI ZANZIBAR.