TASAF yaendesha Warsha elekezi kwa watekelezaji wa PSSN.
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1Ei55gcl0c/U5hzBLL7YaI/AAAAAAACjOg/Ugy-SY1Ufho/s72-c/New+Picture+(1).png)
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii -TASAF- Ladislaus Mwamanga amewataka watumishi wa Mfuko huo kuongeza kasi ya uwajibikaji katika kufanya kazi ili mpango wa kunusuru kaya maskini na zilizo katika mazingira hatarishi kuwafikia walengwa kama ilivyokusudiwa na serikali.
Mwamanga ametoa kauli hiyo mkoani Mtwara wakati akifungua warsha elekezi ya siku mbili kwa maafisa ushauri, ufuatiliaji, wahasibu na waratibu wa mikoa na wilaya ikiwa na lengo la kutathimini utekelezaji wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8w9FUC6A5TY/VC5bIgcnsVI/AAAAAAACsC0/vGTFOyDUGbY/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
TASAF yaendesha warsha kwa wawezeshaji wa kitaifa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-8w9FUC6A5TY/VC5bIgcnsVI/AAAAAAACsC0/vGTFOyDUGbY/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
Baadhi ya washiriki wa warsha ya kujengewa uelewa wa mpango wa kunusureu kaya maskini unaoratibiwa na TASAF wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa TASAF kwenye ukumbi wa TEC mjini DSM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tu5x3Ec2apg/VC5bJr09ODI/AAAAAAACsC8/35PzXsngJhQ/s1600/New%2BPicture.png)
Mkurugenzi wa Uratibu wa TASAF,Bw. Alphonce Kyariga (aliyesimama) akifungua warsha ya kuwajengea uelewa kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga maafisa ufuatiliaji TA wa mamlaka za utekelezaji PAAs kwa pya kwenye ukumbi wa TEC mjini DSM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-J1_xjgOkzKM/VC5bvvBZ9UI/AAAAAAACsDM/XEZ4ssfVSdg/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TzYz4yfm6oM/VC5buL6jpYI/AAAAAAACsDE/aI3SleKt_Ec/s1600/New%2BPicture%2B(3).png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E5mIDvAp8KU/VF0lEACUUjI/AAAAAAACuZg/8WXCJ3X0Puk/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
TASAF YAENDESHA WARSHA YA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI NGAZI YA TAIFA KUHUSU TUKIO LA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI UKUMBI WA TEC DSM
![](http://4.bp.blogspot.com/-E5mIDvAp8KU/VF0lEACUUjI/AAAAAAACuZg/8WXCJ3X0Puk/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLwPoChWxxQ/U2n5mMASPRI/AAAAAAACgaY/PCT34KQzmzs/s72-c/New+Picture.png)
TASAF YAWAFUNDA WATAALAM WA KISEKTA JUU YA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI-PSSN
Bwana Mwamanga amesema hayo jiji Dar es salaam alipofungua warsha ya wataalamu wa kisekta kutoka Tanzania Bara na Zanzibar ambao sekta...
11 years ago
MichuziTASAF YAFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MAAFISA WAKE JIJINI DAR LEO
11 years ago
GPLAIRTEL YAENDESHA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WA SOKA KWA AJILI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS 2014
10 years ago
MichuziUNFPA-TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA TUME YA MIPANGO YAENDESHA WARSHA MKOA WA MARA
Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Musoma warsha inafanyika katika ukumbi wa Afrilux Hotel tarehe 11 na 12 Juni 2015. Kituo hiki kinajumuisha Sekretarieti ya...
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) yaendesha warsha ya uandishi bora wa tafiti kwa wataalamu wake
Aziz Kilonge Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa kufunga warsha ya mafunzo ya uandishi bora wa tafiti ili kukidhi hitaji la msingi la kuhitimu taaluma ya ununuzi na ugavi iliyoratibiwa na kuendeshwa na Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) kuazia tarehe 21 julai mpaka 25 julai 2014. kwenye ukumbi wa baraza la maaskofu TEC-Kurasini jijini Dar es salaam akiwa katika picha ya pamoja na wakufunzi, washiriki...
10 years ago
MichuziTASAF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI WA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI KATIKA WILAYA YA MUFINDI MKOANI IRINGA.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF unaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wawezeshaji wa utambuzi wa kaya maskini katika halmashauri kadhaa nchini. Zoezi hilo ni mwendelezo wa jitihada za TASAF za kunusuru kaya maskini nchini zoezi lililoanza mwaka uliopita kwa awamu katika maeneo mbalimbali nchini.
Miongoni mwa halmashauri ambako mafunzo hayo yanafanyika ni wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa ambako wawezeshaji hao watashiriki katika kuwapa mafunzo wadodosaji watakaofanya kazi ya tathmini...
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.