TASAF YAWAFUNDA WATAALAM WA KISEKTA JUU YA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI-PSSN
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLwPoChWxxQ/U2n5mMASPRI/AAAAAAACgaY/PCT34KQzmzs/s72-c/New+Picture.png)
Mkurugenzi mtendaji wa TASAF, bwana Ladislaus Mwamanga amesema utekelezaji wa Mpango wa kunusuru kaya Masikini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini TASAF utasisimua shughuli za maendeleo kwenye maeneo mbalimbali ya nchi ambako utatekelezwa na hivyo kuwa chachu ya maendeleo na kuondoa kero zinazowakabili wananchi hususani suala la umasikini.
Bwana Mwamanga amesema hayo jiji Dar es salaam alipofungua warsha ya wataalamu wa kisekta kutoka Tanzania Bara na Zanzibar ambao sekta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziChato Waufurahia Mpango wa TASAF wa Kunusuru Kaya Masikini
Baadhi ya wananchi wilayani Chato wameipongeza serikali kupitia mpango wa TASAF Awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini. Wakiongea kwa nyakati Tofauti wananchi hao kutoka kata ya Bwongera ambao ni wanufaika wa Mpango huo wamesema Mpango wa TASAF Awamu ya tatu ni mkombozi kwa wananchi masikini na wameahidi kutumia pesa hizo kwa manufaa ya familia na mahitaji muhimu ya huduma za afya na elimu kwa watoto wao.
“Tunaishukukuru serikali yetu kwa huu mpango mzuri ambao...
11 years ago
MichuziTASAF YATOA MAFUNZO KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI HUKO UNGUJA
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Qhf4yxOHhA/VCI_XtC3i6I/AAAAAAACrh0/ax0Mkz1a2cc/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
11 years ago
MichuziMPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI NA ZINAZOISHI MAZINGIRA HATARISHI UNAORATIBIWA NA TASAF YAIMARISHA MAHUDHURIO YA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI
11 years ago
MichuziMPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI NA ZINAZOISHI MAZINGIRA HATARISHI UNAORATIBIWA NA TASAF WAHAMASISHA AKINA MAMA WAJAWAZITO KUHUDHURIA KLINIKI
11 years ago
MichuziTASAF na washirika wa maendeleo wanaofadhili Mpango wa kunusuru Kaya Masikini na zinazoishi katika mazingira hatarishi watembelea kisiwani Zanzibar
11 years ago
Habarileo15 Dec
TASAF kutumia bil 480/- kunusuru kaya masikini
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) itatumia Sh bilioni 480 katika awamu ya tatu ya mradi wa mpango wa kunusuru kaya masikini zilizo katika mazingira hatarishi.
9 years ago
StarTV21 Dec
Kaya masikini zanufaika kwenye elimu na afya mpango wa tasaf
Mradi wa uhaulishaji wa kaya masikini nchini Tasaf III imeonyesha mafanikio katika maeneo mengi nchini katika nyanja mbalimbali zikiwemo elimu na Afya.
Mpango huo umesambaa katika halmashauri zote Tanzania Bara na Visiwani ili kuziwezesha kaya maskini kujikimu na kuwawezesha watoto walio na umri wa kuanza shule kupata elimu.
Ziara ya uongozi wa Tasaf katika kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe katika Kijiji cha Kisanga ambacho ni miongoni mwa...