Wanasiasa waonywa mpango wa kunusuru kaya maskini
VIONGOZI na wanasiasa wameaswa kutotumia mpango wa kunusuru kaya masikini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuingiza majina ya watu ambao si walengwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xPl0ReMw8ws/VKOBPAviBrI/AAAAAAACxAA/nXtVp228jfs/s72-c/New%2BPicture.png)
WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOTEKELEZWA NA TASAF WACHIMBA MTARO WA MAJI
Maelfu ya wakazi wa shehia ya Mpapa wilaya ya Kusini Unguja wanatarajiwa kunufaika na huduma ya maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi wa maji unaotekelezwa na walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa utaratibu wa ajira ya muda PWP.
Wakizungumza katika eneo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
UFUNGUZI WA WARSHA YA KUJENGA UELEWA WA WADAU KUHUSU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI — TASAF AWAMU YA TATU MKOANI KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mzdqVN2ywXo/U0RaIihFpoI/AAAAAAACeUw/PP79uIsd4yI/s1600/New+Picture+(2).png)
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe akihutubia washiriki wa Warsha ya kujenga uelewa wa wadau kuhusu mpango wa kunusuru Kaya maskini – TASAF awamu ya tatu Mkoani Katavi .
![](http://3.bp.blogspot.com/-QdbNOGaS4ik/U0Ralibx5DI/AAAAAAACeVQ/AgUHlrQQ-zw/s1600/New+Picture+(5).png)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s72-c/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
Rais Dkt. Magufuli azindua Kipindi cha Pili cha Awamu ya tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa TASAF III
![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s640/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/58507fab-bb46-4bcf-8f07-b80dd518011e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/a8c0aa49-06d2-4e46-8612-2a5b7a6a76aa.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akikata utepe kuzindua Kipindi cha awamu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Qhf4yxOHhA/VCI_XtC3i6I/AAAAAAACrh0/ax0Mkz1a2cc/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
9 years ago
MichuziChato Waufurahia Mpango wa TASAF wa Kunusuru Kaya Masikini
Baadhi ya wananchi wilayani Chato wameipongeza serikali kupitia mpango wa TASAF Awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini. Wakiongea kwa nyakati Tofauti wananchi hao kutoka kata ya Bwongera ambao ni wanufaika wa Mpango huo wamesema Mpango wa TASAF Awamu ya tatu ni mkombozi kwa wananchi masikini na wameahidi kutumia pesa hizo kwa manufaa ya familia na mahitaji muhimu ya huduma za afya na elimu kwa watoto wao.
“Tunaishukukuru serikali yetu kwa huu mpango mzuri ambao...