BL 12.4 ZATOLEWA KWA KAYA MASKINI TUNDURU

Afisa Mwezeshaji wa mfuko wa Maendeleo ya jamii Nchini(TASAF)wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Avelinius Rwegasira akiongea jana na wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini katika kijiji cha Tanesco Tunduru mjini wakati wa malipo kwa walengwa hao.
Baadhi ya walengwa ambao ni wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini Tasaf kijiji cha Tanesco wilayani Tunduru wakisubiri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
TASAF yagawa bil 7.1/- kwa kaya maskini
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone (anayeangalia picha) akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na maafisa wa TASAF kutoka makao makuu na wa mkoa wa Singida.
Naibu Katibu mkuu ofisi ya rais Zuzana Mlawi (wa kwanza kushoto) akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa pamoja kati ya Mkuu wa mkoa na viongozi wa TASAF.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 7.1 bilioni kuhawilisha kaya maskini 40,156...
11 years ago
Michuzi
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
10 years ago
Michuzi
MPANGO WA AJIRA ZA MUDA KWA WALENGWA WA KAYA MASKINI CHINI YA TASAF WASHIKA KASI KISIWANI ZANZIBAR.
10 years ago
MichuziTASAF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI WA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI KATIKA WILAYA YA MUFINDI MKOANI IRINGA.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF unaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wawezeshaji wa utambuzi wa kaya maskini katika halmashauri kadhaa nchini. Zoezi hilo ni mwendelezo wa jitihada za TASAF za kunusuru kaya maskini nchini zoezi lililoanza mwaka uliopita kwa awamu katika maeneo mbalimbali nchini.
Miongoni mwa halmashauri ambako mafunzo hayo yanafanyika ni wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa ambako wawezeshaji hao watashiriki katika kuwapa mafunzo wadodosaji watakaofanya kazi ya tathmini...
10 years ago
Michuzi.png)
TASAF YAENDESHA WARSHA YA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI NGAZI YA TAIFA KUHUSU TUKIO LA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI UKUMBI WA TEC DSM
.png)
11 years ago
Michuzi.jpg)
Zoezi la Uandikishaji wa Kaya Maskini Mpanda Mjini
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Jan
Wanasiasa waonywa mpango wa kunusuru kaya maskini
VIONGOZI na wanasiasa wameaswa kutotumia mpango wa kunusuru kaya masikini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuingiza majina ya watu ambao si walengwa.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
TASAF yajizatiti kuzijenga kiuchumi kaya maskini
SERIKALI ina sera na mikakati mbalimbali ya kupambana na umaskini. Moja ya sera hizo ni mkakati wa taifa wa kupunguza umaskini. Mkakati huo umeiwezesha serikali kupata mafanikio mengi ikiwa ni...