Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa

Pamoja na kushindwa kutaja tarehe rasmi ya kuanza kuboresha daftari la kudumu la wapigakura, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema daftari hilo litaboreshwa kabla ya kuanza kwa upigaji wa kura ya maoni kwa ajili ya kupata Katiba Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema daftari la kudumu la wapiga kura lililopo limegubikwa na kasoro nyingi zinazowafanya watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa kuinyooshea kidole tume hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

NEC yaanza kuboresha Daftari la Wapigakura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza mchakato wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, kwa kuanza kuhakiki vituo vya uandikishaji na kupiga kura vitakavyoongezeka kwa lengo la kuvisogeza karibu zaidi na wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

NEC, wanasiasa kujadili daftari la wapigakura

 James Mbatia WAKATI Uandikishaji katika daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo inakutana na Vyama vya siasa kujadili mchakato huo.

 

10 years ago

Habarileo

NEC yataja masharti Daftari la Wapigakura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC: Hakuna mabadiliko ya ratiba Daftari la Wapigakura

Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikisisitiza kuwa ratiba ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura itakuwa kama ilivyopangwa, Chadema imesema itachukua uamuzi mgumu endapo shughuli hiyo itachelewa na kuharibu mchakato wa Kura ya Maoni.

 

11 years ago

Mwananchi

NEC, Upinzani wakinzana kuhusu uboreshaji wa daftari la wapigakura

>Serikali imeeleza nia yake ya kufanya maboresho kwenye Daftari la Wapigakura katika mwaka huu wa fedha 2014/15, ikitumia mfumo wa biometric ambao, hata hivyo, unalalamikiwa na vyama vya upinzani nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Daftari la Wapigakura kuboreshwa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imesema Daftari la Kudumu la Wapigakura, litafanyiwa marekebisho kabla ya kuanza kwa upigaji wa kura ya maoni kwa ajili ya kupata Katiba Mpya, ili kuwawezesha vijana waliotimiza umri wa miaka 18, ambao hawakujiandikisha, kupata fursa ya kupigakura.

 

10 years ago

Mwananchi

Silaa: Jiandikisheni Daftari la Wapigakura

Wakazi wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura ili waweze kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Daftari la wapigakura D’Salaam kizungumkuti

Uhakiki wa majina ya wananchi watakaokuwa na sifa za kupiga kura Oktoba 25,  umeanza utekelezaji wake Dar es Salaam, huku katika baadhi ya kata vitabu vya majina vina taarifa zilizochanganywa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani