NEC: Hakuna mabadiliko ya ratiba Daftari la Wapigakura
Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikisisitiza kuwa ratiba ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura itakuwa kama ilivyopangwa, Chadema imesema itachukua uamuzi mgumu endapo shughuli hiyo itachelewa na kuharibu mchakato wa Kura ya Maoni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa
10 years ago
Habarileo12 Feb
NEC, wanasiasa kujadili daftari la wapigakura
WAKATI Uandikishaji katika daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo inakutana na Vyama vya siasa kujadili mchakato huo.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura
10 years ago
Habarileo14 Aug
NEC yataja masharti Daftari la Wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.
11 years ago
Habarileo30 Jan
NEC yaanza kuboresha Daftari la Wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza mchakato wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, kwa kuanza kuhakiki vituo vya uandikishaji na kupiga kura vitakavyoongezeka kwa lengo la kuvisogeza karibu zaidi na wananchi.
11 years ago
Mwananchi29 May
NEC, Upinzani wakinzana kuhusu uboreshaji wa daftari la wapigakura
10 years ago
Mwananchi10 Oct
NEC: Hakuna kura ya maoni bila daftari jipya
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa
10 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yaonya daftari la wapigakura
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) William Lukuvi, ameonesha kutoridhishwa na utaratibu mbovu unaotumika kuandikisha wananchi katika daftari la kudumu la wapiga kura, kutokana na kuwa na mianya inayoweza kuingiza wasio raia wa Tanzania.