NEC yaanza kuboresha Daftari la Wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza mchakato wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, kwa kuanza kuhakiki vituo vya uandikishaji na kupiga kura vitakavyoongezeka kwa lengo la kuvisogeza karibu zaidi na wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
NEC yaanza kuboresha daftari
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa imeanza maandalizi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Taarifa hiyo ilitolewa na Makamu Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu, Hamid...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Bil. 279/- kuboresha daftari la wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imesema imeanza mchakato wa kuboresha daftari la wapigakura, ili liweze kutumika kwenye upigaji kura ya maoni ya katiba mpya. Uboreshaji huo unatarajiwa kutumia zaidi ya...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa
11 years ago
Mwananchi21 Jun
NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura
10 years ago
Habarileo14 Aug
NEC yataja masharti Daftari la Wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.
10 years ago
Habarileo12 Feb
NEC, wanasiasa kujadili daftari la wapigakura
WAKATI Uandikishaji katika daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ya wiki ijayo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo inakutana na Vyama vya siasa kujadili mchakato huo.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
NEC: Hakuna mabadiliko ya ratiba Daftari la Wapigakura
11 years ago
Mwananchi29 May
NEC, Upinzani wakinzana kuhusu uboreshaji wa daftari la wapigakura
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
NEC yaanza uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa (BVR)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.(PICHA ZOTE NA HILLARAY SHOO Mo Blog, SINGIDA).
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.
Lengo la...