Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yaanza kuboresha daftari

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa imeanza maandalizi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Taarifa hiyo ilitolewa na Makamu Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu, Hamid...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

NEC yaanza kuboresha Daftari la Wapigakura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza mchakato wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, kwa kuanza kuhakiki vituo vya uandikishaji na kupiga kura vitakavyoongezeka kwa lengo la kuvisogeza karibu zaidi na wananchi.

 

11 years ago

Dewji Blog

NEC yaanza uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa (BVR)

jaji..3

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.(PICHA ZOTE NA HILLARAY SHOO Mo Blog, SINGIDA).

MWENYKIT

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.

Lengo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 279/- kuboresha daftari la wapigakura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imesema imeanza mchakato wa kuboresha daftari la wapigakura, ili liweze kutumika kwenye upigaji kura ya maoni ya katiba mpya. Uboreshaji huo unatarajiwa kutumia zaidi ya...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuboresha daftari la wapiga kura kuelekea maoni

Mathias ChikaweSERIKALI imesema itaboresha daftari la kudumu la wapiga kura kabla ya kura ya maoni kuhusu Rasimu ya Katiba mpya.

 

11 years ago

Michuzi

WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA MFUMO UTAKAOTUMIKA KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU LA KUPIGA KURA.

 Mjumbe wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu John Mkwawa  wakati akisoma taarifa wakati   akifungua mkutano wa siku moja na waandishi wa habari wa Mkoa wa Iringa unaohusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza na matumizi ya Teknolojia mpya ya Biometric Voter Registration uliofanyika katika ukumbi wa ofisi za mkuu wa mkoa wa Iringa.  Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo wa NEC kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Nec: Daftari la wapigakura litaboreshwa

Pamoja na kushindwa kutaja tarehe rasmi ya kuanza kuboresha daftari la kudumu la wapigakura, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema daftari hilo litaboreshwa kabla ya kuanza kwa upigaji wa kura ya maoni kwa ajili ya kupata Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mtanzania

Daftari la NEC lasuasua Njombe

Na Michael Mapollu, Njombe
HATUA ya uandikishwaji wa Daftari ya Kudumu la Wapiga Kura kwa mfumo wa Elektroniki (BVR) katika Mkoa wa Njombe, jana lilianza katika kata tatu za Mjimwema, Yakobi.
Pamoja na kuanza uandikishaji katika kata hizo, yameibuka malalamiko kutoka kwa wananchi ambao walidai kuwa kasi ya uandikishaji imekuwa ikisuasua huku mwananchi mmoja akiandikishwa kwa muda mrefu.
Katika vituo vya uandikishaji vilivyopangwa katika Kata ya Mjimwema, mwandishi wa habari alitembelea vituo...

 

10 years ago

Michuzi

Morogoro yaanza maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura

Na Andrew Chimisela
Mkoa wa Morogoro umeanza maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu.
Maandalizi hayo yameanza jana kwa semina ya siku mbili inayotolewa kwa waratibu wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura katika ngazi ya Mkoa na Wilaya za Mkoa wa Morogoro.Semina hiyo inalenga kutoa Elimu itakayowawezesha kutekeleza jukumu hilo katika...

 

11 years ago

Mwananchi

NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema daftari la kudumu la wapiga kura lililopo limegubikwa na kasoro nyingi zinazowafanya watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa kuinyooshea kidole tume hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani