Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamuzi wa Uturuki watiliwa shaka na US

Marekani imetilia shaka uamuzi wa Uturuki wa kutaka kutenga eneo la amani la kutumiwa na raia Kaskazini mwa Syria kwa msaada wa Marekani na mataifa mengine washirika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama Uturuki yaitisha uamuzi kuhusu Gollum

Mahakama moja nchini Uturuki imeagiza uchunguzi ufanywe kubaini sifa za mhusika mmoja katika filamu za Lord of the Rings ajulikanaye kama Gollum.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

11 years ago

Mwananchi

Wambura shaka tupu

Jinamizi la kuipeleka Simba mahakamani limeendelea kumtesa Michael Wambura kuwania urais ndani ya klabu hiyo, na sasa atakutana uso kwa uso na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

11 years ago

Mwananchi

Usajili Simba shaka

Kundi maarufu la Friends Of Simba wamesimamisha zoezi la usajili la wachezaji wa klabu hiyo wakidaiwa kupima kwanza upepo.

 

10 years ago

Mwananchi

Deni la Taifa linapotiliwa shaka

Limekuwa jambo la kawaida sasa kwa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za kila mwaka kuibua madudu mengi ya kutisha kuhusu matumizi ya fedha za Serikali.

 

9 years ago

Habarileo

DP watilia shaka ajali ya Mtikila

CHAMA cha Democtratic Party (DP) kimesema kimesikitishwa na mazingira yaliyosababisha kifo cha Mwenyekiti wa chama hicho, Mchungaji Chrisopher Mtikila. Taarifa ya chama hicho iliyotolewa kwenye vyombo vya habari na Naibu Katibu Mkuu wa DP upande wa Tanganyika, Abdul Mluya ilidai kuwa kifo cha kiongozi huyo kinaonesha mazingira ya utata.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaja, Coutinho viwango shaka

Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Zamoyoni Mogella ameishangaa Yanga kutumia fedha nyingi kusajili wachezaji wa Kibrazili wenye viwango vya kawaida.

 

10 years ago

Habarileo

Shaka zatawala muswada wa maadili

BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamegawanyika kuhusu muswada wa kuweka maadili ya viongozi wa umma ambapo wamekuwa na wasiwasi kama muswada huo unaweza kufanya kazi zake vizuri na kuwatia hatiani wahusika kwa sababu unawahusu moja kwa moja viongozi wa ngazi za juu serikalini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shaka amzodoa Prof. Lipumba Zanzibar

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imemuonya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba, kuacha kuingilia uamuzi wa kikatiba unaofikiwa na chama chao. UVCCM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani