Magufuli: Uadilifu wangu hauna shaka
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema uadilifu wake ni wa kuaminika na ameamua kujitoa sadaka kwa ajili ya kutumikia Watanzania katika uhai wake. Akihutubia mkutano wa kampeni mjini Katesh wilayani Babati mkoani Manyara, jana, Magufuli alisema anachotaka ni kufanya kazi na si siasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema04 Nov
Serikali ya Magufuli inayokuja na shaka iliyopo
ZILIONEKANA kila dalili, kuwa mgombea urais wa CCM, Dk.
Maggid Mjengwa
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Magufuli na Biblia; Uadilifu na Sheria
ULIMWENGU na Watanzania wanamuangalia Rais John Pombe Magufuli kwa macho mawili kutizama nini ata
Ahmed Rajab
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrJQzhDNhyY0BoSBmzaL1lFltwdRFyqdPqy6-Sieux7YLoOitp7-uhhfvJwgB50ke*F5E5hWfrgnJ6O1JAhn9C9t/CHAGUA1magufuli.jpg?width=750)
9 years ago
MichuziTANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Tano za Magufuli, Uadilifu, Uchapakazi, Ufuatiliaji, Utekelezaji na Utumishi Uliotukuka
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Slaa: Rais wangu ni Dk Magufuli
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema anamkubali kwa asilimia 90 mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akisema anafaa kwa nafasi hiyo kwa kuwa ni jasiri na ana uwezo wa kupambana na ufisadi.
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Magufuli: Nitafuata nyayo za watangulizi wangu
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema ataongoza nchi kwa kufuata nyayo za watangulizi wake, ili kuleta maendeleo ya kweli.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipohutubia mikutano ya kampeni katika majimbo ya Isimani mkoani Iringa, Kibakwe na Mtera mkoani Dodoma.
Alisema kazi iliyofanywa na watangulizi wake, imekuwa nzuri na yenye mafanikio, hali ambayo imeifanya Serikali ya Marekani kupitia...
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Magufuli: Mawaziri wangu watafanya kazi usiku na mchana
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli-300x203.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Bakari Kimwanga, Tunduma
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema akifanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, atakuwa na baraza dogo la mawaziri litakalofanya kazi usiku na mchana.
Akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kampeni mkoani Rukwa juzi, Dk. Mgufuli alisema mawaziri wake watahudumia wananchi kwa wakati na si kukaa ofisini na kusubiri kuletewa taarifa.
“Nitateua mawaziri wachache na wenye uadilifu, kama kuna waziri...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s72-c/10...jpg)
RAIS MAGUFULI: MTOTO WANGU ALIUGUA CORONA NA KUPONA KWA KUJIFUKIZA,KULA MALIMAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s400/10...jpg)
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...