Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Uadilifu wangu hauna shaka

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema uadilifu wake ni wa kuaminika na ameamua kujitoa sadaka kwa ajili ya kutumikia Watanzania katika uhai wake. Akihutubia mkutano wa kampeni mjini Katesh wilayani Babati mkoani Manyara, jana, Magufuli alisema anachotaka ni kufanya kazi na si siasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Serikali ya Magufuli inayokuja na shaka iliyopo

ZILIONEKANA kila dalili, kuwa mgombea urais wa CCM, Dk.

Maggid Mjengwa

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli na Biblia; Uadilifu na Sheria

ULIMWENGU na Watanzania wanamuangalia Rais John Pombe Magufuli kwa macho mawili kutizama nini ata

Ahmed Rajab

 

9 years ago

Michuzi

TANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.

Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tano za Magufuli, Uadilifu, Uchapakazi, Ufuatiliaji, Utekelezaji na Utumishi Uliotukuka

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.

Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...

 

9 years ago

Habarileo

Slaa: Rais wangu ni Dk Magufuli

KATIBU Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema anamkubali kwa asilimia 90 mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akisema anafaa kwa nafasi hiyo kwa kuwa ni jasiri na ana uwezo wa kupambana na ufisadi.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nitafuata nyayo za watangulizi wangu

g1Na Bakari Kimwanga, Dodoma

 

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema ataongoza nchi kwa kufuata nyayo za watangulizi wake, ili kuleta maendeleo ya kweli.

Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipohutubia mikutano ya kampeni katika majimbo ya Isimani mkoani Iringa, Kibakwe na Mtera mkoani Dodoma.

Alisema kazi iliyofanywa na watangulizi wake, imekuwa nzuri na yenye mafanikio, hali ambayo imeifanya Serikali ya Marekani kupitia...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Mawaziri wangu watafanya kazi usiku na mchana

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Na Bakari Kimwanga, Tunduma

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema akifanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, atakuwa na baraza dogo la mawaziri litakalofanya kazi usiku na mchana.

Akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kampeni mkoani Rukwa juzi, Dk. Mgufuli alisema mawaziri wake watahudumia wananchi kwa wakati na si kukaa ofisini na kusubiri kuletewa taarifa.

“Nitateua mawaziri wachache na wenye uadilifu, kama kuna waziri...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI: MTOTO WANGU ALIUGUA CORONA NA KUPONA KWA KUJIFUKIZA,KULA MALIMAO

Haki miliki ya picha
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani