RAIS MAGUFULI: MTOTO WANGU ALIUGUA CORONA NA KUPONA KWA KUJIFUKIZA,KULA MALIMAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s72-c/10...jpg)
Haki miliki ya picha
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 May
Magufuli amesesema mtoto wake aliugua ugonjwa wa Covid-19 na kupona
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/rjXTSjmGSls/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRfWR6A3A0/XspW20SQOKI/AAAAAAACLbg/BbwzfQ8ICO4iEPPkptGX3Ha6IsG25qhHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWAPONGEZA WAISLAM KWA KUMALIZA MFUNGO WA RAMADHANI, AWASHUKURU KWA KULIOMBEA TAIFA DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRfWR6A3A0/XspW20SQOKI/AAAAAAACLbg/BbwzfQ8ICO4iEPPkptGX3Ha6IsG25qhHgCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS Dk. John Magufuli amewapongeza Waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku akiwashuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s72-c/D92A6166.jpg)
Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s1600/D92A6166.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4QhYbTyOvIU/VIRg-dHptZI/AAAAAAADQFk/EfYmOw2iVKU/s1600/D92A6155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MnLwXCnWXKs/VIRg-nKx5vI/AAAAAAADQFo/ehygY6FwDhk/s1600/D92A6216.jpg)
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Wanaswa kwa kula maiti ya mtoto
9 years ago
Habarileo09 Oct
Slaa: Rais wangu ni Dk Magufuli
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema anamkubali kwa asilimia 90 mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akisema anafaa kwa nafasi hiyo kwa kuwa ni jasiri na ana uwezo wa kupambana na ufisadi.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Kutana na Msafiri Mjema aliyebuni mfumo kujifukiza jijini Dar es Salaam
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10