VIDEO: RAIS MAGUFULI ATAKA WATALII WATAKAOKUJA NCHINI WAPEWE OFA YA KUJIFUKIZA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://img.youtube.com/vi/rjXTSjmGSls/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s72-c/10...jpg)
RAIS MAGUFULI: MTOTO WANGU ALIUGUA CORONA NA KUPONA KWA KUJIFUKIZA,KULA MALIMAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s400/10...jpg)
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona:Rais Magufuli atoa maagizo ndege za kubeba watalii kuingia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CMSs1sK0-yc/XsYGgPSCLKI/AAAAAAALrDQ/y_cOwqEoFKU6MwgcgkwDnghuvUujaMr7ACLcBGAsYHQ/s72-c/1dfc1724-dbcc-4a45-9fe3-6827061e6fca.jpg)
RAIS MAGUFULI APONGEZWA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CMSs1sK0-yc/XsYGgPSCLKI/AAAAAAALrDQ/y_cOwqEoFKU6MwgcgkwDnghuvUujaMr7ACLcBGAsYHQ/s640/1dfc1724-dbcc-4a45-9fe3-6827061e6fca.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5d76d45a-2346-40fb-a52c-9405f672738e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/9e4a64d3-a831-44dd-80fa-e86ca9b1c85d.jpg)
…………………………………………………………………………….
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepongezwa kwa hatua zote alizochukuwa za kupambana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi Corona ambapo amefanikiwa kulinda usalama na uhai wa Raia wake.
Hayo yamesemwa leo Jumatano Mei 20, 2020 na Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu kwenye mkutano na Wananchi uliofanyika Kijiji cha Ruvuma kilichopo kata ya Mihambwe wakati wa ziara ya kikazi ya Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kmIgF44HsI/XncWFs0J2hI/AAAAAAALksY/3XYyCzvrZCwLcAXmDsuzk7jyJQRTbT2dACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
Rais Magufuli ataka Watanzania wasitishane na badala yake wachukue tahadhari dhidi ya Corona
Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 22 Machi, 2020 alipohudhuria Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATAKA WATANZANIA WASITISHANE KUHUSU CORONA NA BADALA YAKE WACHUKUE TAHADHARI
Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 22 Machi, 2020 alipohudhuria Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s72-c/46260047_303.jpg)
RAIS MAGUFULI: YEYOTE ATAKAYEPOKEA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA NA VIKIPIMWA NA KUKUTWA NA VIRUSI HIVYO ASHITAKIWE NA KESI YA MAUAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s400/46260047_303.jpg)
Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Mei 21, 2020, Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuwaapisha Mabalozi wa nchi mbalimbali , Mkurugenzi wa TAKUKURU na Katibu Tawala Mkoa na kuongeza kuwa vitu vya bure vina...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wahitimu wa Vyuo Vikuu nchini watakiwa kumsaidia Rais Dkt. Magufuli kupambana na ufisadi-Dr.Walukani
Proffessa, John Adamson Mwakilima akitunuku Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika Maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA chenye tawi lake Kata ya Mlandizi mkoani hapa mhitimu Walukani Luhamba ambaye ni Ofisa Mfawidhi wa Sumatra Mkoa wa Tanga juzi.
Dr.Walukani Luhamba akipongezwa na Familia yake mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p6EemEe94BI/XsEVeOjMt2I/AAAAAAAC5hI/hdtP6jzj-egSPQPhb5pisa6uhwlaHhvmACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI: WAGONJWA CORONA NCHINI TANZANIA WAMEPUNGUASANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-p6EemEe94BI/XsEVeOjMt2I/AAAAAAAC5hI/hdtP6jzj-egSPQPhb5pisa6uhwlaHhvmACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais amesema hilo wakati akitoa salamu kwa Watanzania alipohudhuria ibada ya Jumapili- KKKT Usharika wa Chato Mkoani Geita,
Akitoa takwimu hizo Rais Magufuli amesema kwa Mkoa wa Dar es Salaam;
Amana ilikuwa inalaza wagonjwa 198 leo walikuwepo watu 12 walioathirika, Mloganzila walikuwa watu 30 leo 6, Kibaha huwa...
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Viusi vya corona: Runinga ya Citizen nchini Kenya yasikitika kumuita rais Magufuli 'mkaidi'